Tarehe ya Kuwekwa: December 17th, 2020
Mkuu wa wilaya ya songea mkoani Ruvuma Pololeti Mgema ametoa maagizo kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira kutoa elimu kwa wananchi wa Madaba kuhusu umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji.
...
Tarehe ya Kuwekwa: December 15th, 2020
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Mhe Menasi Komba ameonya watakao kiuka maadili ya kazi yao watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa na serikali...
Tarehe ya Kuwekwa: December 9th, 2020
Wafugaji wa kuku wa Kijiji cha Nakahegwa ,Kata ya Mbinga Mhalule wameshauriwa kutumia teknolojia rahisi katika kufanikisha malengo yao ya ufugaji ili waweze kupata mafanikio ambayo yatawaweze...