• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

NAIBU Waziri aipongeza Kampuni ya AVIV Tanzania kuajiri wazawa

Tarehe ya Kuwekwa: July 13th, 2021

Naibu wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.Hamad Hassan Chande ameipongeza kampuni ya AVIV  Tanzania iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma kwakuajiri  watumishi wazawa.

 Mhe.Chande ametoa pongezi hizo alipofanya ziara ya kuitembelea kampuni hiyo na kuzungumza na watumishi wa Kampuni hiyo hivi karibuni.

Kampuni ya AVIV Tanzani ni kampuni ya muwekezaji aliyewekeza kwenye kilimo cha zao la kahawa aina ya Arabika ambapo asilimia 99 ya watumishi wake ni Watanzania jambo ambalo linatoa fursa kwa wananchi kunufaika na mradi huo.

Ametoa wito kwa Kampuni hiyo kuendelea na harakati za kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti rafiki ya maji na kulinda vyanzo vya maji.

”Hali sio nzuri katika utunzaji wa mazinzingira watu wanavamia misitu wanachoma mkaa ,wanafuga holela holela,wanajenga kwenye vyanzo vya maji,wito wa Serikali ni kuhakikisha kwamba utunzaji wa mazingira unalindwa kwa gharama yoyote  kwa kupanda miti na kutoa elimu kwa wananchi kusudi watunze vyanzo vya maji na mazingira “,alisisitiza Mhe,Chande

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Songea Pololet Mgema amesema uharibifu wa mazingira unaenda sambamba na ongezeko la binadamu,na ongezeko la binadamu ni matokeo ya ongezeko la shughuli za kibinadamu ambazo baadhi ya shughuli hizo zimekuwazikisababisha uharibifu wa mazingira.

”Kazi ziendelee na utunzaji wa mazingira uendelee “,amesema Mgema.

Amesema kufutia hali hiyo yeye kama kiongozi ameanza kuchukua hatua ya kutoa elimu kwa wananchi wake waweze kutambua umuhimu na athari za uharibifu wa mazingira zitakavyotuathiri pasipo kuchukua tahadhari.

Kampuni ya AVIVl Tanzania inamiliki shamba lenye ukubwa wa ekali 1012 ambazo zinalimwa kahawa aina ya Arabika na ni miongoni mwa mashamba makubwa katika uwekezaji wa zao la kahawa kwa Afrika Mashariki na kati.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Kaimu Afisa Habari – Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa