Tarehe ya Kuwekwa: October 15th, 2022
KAMATI ya fedha, uongozi na mipango ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba imefanya ziara katika Wilaya ya Songea kata ya Ndongosi kijiji cha Nambendo.
Aidha kat...
Tarehe ya Kuwekwa: October 10th, 2022
KATIBU tawala Wilaya ya Songea ndugu Pendo Daniel amewataka wananchi wa Songea vijijini kulinda miradi inayotekelezwa na mfuko wa maendeleo ya jamii wa TASAF.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na w...
Tarehe ya Kuwekwa: October 3rd, 2022
Halmashauri ya Wilaya ya Songea imepokea kiasi cha Shilingi Milioni 200 kwaajili ya ujenzi wa Vyumba 10 vya Madarasa kwa Wanafunzi wa kidato cha kwanza Mwaka 2023.
Tunaishukuru Serikali ya awamu ya...