Tarehe ya Kuwekwa: October 20th, 2022
WANAFUNZI wa shule ya Sekondari Mpitimbi wameishukuru Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa kuwajengea bweni jipya na la kisasa lililowatengenezea mazingira mazuri ya kujisomea.
Waki...
Tarehe ya Kuwekwa: October 15th, 2022
KAMATI ya fedha, uongozi na mipango ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba imefanya ziara katika Wilaya ya Songea kata ya Ndongosi kijiji cha Nambendo.
Aidha kat...
Tarehe ya Kuwekwa: October 10th, 2022
KATIBU tawala Wilaya ya Songea ndugu Pendo Daniel amewataka wananchi wa Songea vijijini kulinda miradi inayotekelezwa na mfuko wa maendeleo ya jamii wa TASAF.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na w...