• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Viwanda, Biashara na Uwekezaji


DIVISHENI YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI


Lengo kuu la divisheni

Kuweka mazingira mazuri ya biashara kwa maendeleo ya viwanda, biashara, masoko na uwekezaji

Divisheni ya viwanda biashara na uwekezaji ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea inaongozwa na mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Songea chini ya mkuu ya Mkuu wa divisheni na wasaidizi wake.

Divisheni imegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni

  • Sehemu ya maendeleo ya viwanda na uwekezaji na,
  • Sehemu ya Biashara na Masoko

Divisheni ya Viwanda, Biashara, na Uwekezaji katika shughuli zake inatekeleza majukumu yafuatayo;

  • Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu zinazohusiana na viwanda, biashara, masoko na uwekezaji;
  • Kukuza viwanda, biashara, masoko na uwekezaji katika Halmashauri;
  • Kupanga vivutio vya viwanda, biashara, masoko na kukuza uwekezaji;
  • Kukuza maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (SMEs);
  • Kuendeleza mapendekezo na miradi ya uwekezaji;
  • Kuendeleza hatua za maendeleo ya sekta binafsi;
  • Kuanzisha na kusimamia kanzidata ya viwanda, biashara, masoko na uwekezaji.
  • Kufanya utafiti wa kukuza biashara na uwekezaji ndani ya Halmashauri;
  • Kuratibu Jukwaa la Biashara;
  • Kusimamia shughuli za minada na masoko katika Halmashauri;
  • Kutekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Biashara kwa wafanyabiashara wadogo na watoa huduma; na
  • Kuweka Mazingira bora ya Biashara na uwekezaji ili kukuza Biashara na Uwekezaji
  • SEHEMU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA UWEKEZAJI

Sehemi hii katika utekelezaji wa majukumu na shughuli zake itaongozwa na Afisa mfawidhi wa maendeleo ya Viwanda na Uwekezaji, pia inatekeleza shughuli zifuatazo ndani ya divisheni ya Viwanda, Biashara, na Uwekezaji;

Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za sekta ya viwanda na uwekezaji;

Kukuza na kuratibu utekelezaji wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi;

Kutenga, kuendeleza na kufuatilia maeneo ya viwanda na hifadhi;

Kutoa ushauri kuhusu uboreshaji wa sera za Viwanda na kuratibu mikutano ya kisekta;

Kukuza uzalishaji wa malighafi mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya viwandani;

Kutayarisha na kutunza rejista za viwanda na vitega uchumi;

Kupanga na kukadiria ushuru kwa viwanda vidogo;

Kuendeleza na kupitia upya wasifu wa uwekezaji;

Kukuza uwekezaji wa sekta binafsi;

Kuratibu na kutoa ushauri kwa wawekezaji; na

 Kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.

  •  
  • SEHEMU YA BIASHARA NA MASOKO

Sehemu hii katika utekelezaji wa majukumu na shughuli zake itaongozwa na Afisa mfawidhi wa Biashara na Masoko, pia inatekeleza shughuli zifuatazo ndani ya divisheni ya Viwanda, Biashara, na Uwekezaji;

Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za biashara na masoko;

Kutoa ujuzi wa ujasiriamali kwa jumuiya ya wafanyabiashara;

Kuratibu na kutoa ushauri kuhusu shughuli za usajili wa biashara;

Kuchambua taarifa za biashara na masoko na ushauri ipasavyo;

Kukuza ubia wa sekta binafsi ya umma;

Kusimamia shughuli za minada na masoko katika Halmashauri;

Kukusanya na kusambaza taarifa za masoko ya bidhaa na huduma kwa wahusika;

Kutekeleza mkakati wa kukuza biashara kwa wachuuzi wadogo na watoa huduma za biashara ndogo ndogo; na

Kuweka mazingira bora ya biashara

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2025

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YATINGA KWA KISHINDO UMISETA TAIFA

    June 18, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa