Tarehe ya Kuwekwa: November 24th, 2021
Mratibu wa magonjwa ya kifua kikuu na Ukoma wa Halmashauri ya Wiliya ya Songea mkoani Ruvuma Adam Ngunga amesema ugonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma bado ni tatizo kubwa katika Halmashau...
Tarehe ya Kuwekwa: November 26th, 2021
Meneja wa Wakala wa maji na Usafi wa Mazingira wa Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Mathias Pangras amesema asilimia 71 ya wakazi wa wilaya ya songea mkoani Ruvuma wanapata huduma ya maji safi.
Pangra...
Tarehe ya Kuwekwa: November 17th, 2021
Viongozi wa dini wamedai uyumbishwaji wa taarifa za awali kuhusu chanjo ya UVIKO-19 zilizokuwa zikitolewa na wataalam wa Afya zilikuwa na mkanganyiko ndani yake jambo lililosababisha baadh...