Tarehe ya Kuwekwa: March 6th, 2023
WAHESHIMIWA Madiwani wakimkabidhi Zawadi Mgeni rasmi Ndugu Pendo Daniel ambae amemwakilisha Mbunge wa Jimbo la Peramiho katika Sherehe ya Uzinduzi wa siku ya Wanawake Duniani.
...
Tarehe ya Kuwekwa: March 6th, 2023
KATIBU Tawala Wilaya ya Songea Ndugu Pendo Daniel amegawa vyeti Kwa Wanawake Viongozi na Wakuu wa Idara Kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Peramiho katika siku ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya W...
Tarehe ya Kuwekwa: March 6th, 2023
Mgeni rasmi akikagua mabanda ya biashara zinazofanywa na vikundi vya Wanawake wajasiliamali ambao wamepokea mkopo wa asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika siku ya uzinduzi wa maadh...