Tarehe ya Kuwekwa: January 13th, 2021
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Chirstina Mndeme amesema Mkoa umejipanga vizuri katika kuhakikisha Watoto wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Januari 2021 wanaanza kidato cha kwanza bila vi...
Tarehe ya Kuwekwa: December 30th, 2020
Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (MUUUB) Jusseim Mwakipesile amewataka watumishi wa umma kuzingatia maadili katika utumishi wao na kutambua madhara...
Tarehe ya Kuwekwa: December 28th, 2020
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Simoni Bulenganija amesema watoto wote 2082 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 wataanza masomo Januari 2021.
...