Tarehe ya Kuwekwa: January 4th, 2023
TIMU ya wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamefanya ufuatiliaji wa mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Lizaboni ambapo Serikali imetoa shilingi milioni 250 kwaajili ya kutekele...
Tarehe ya Kuwekwa: January 2nd, 2023
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua zoezi la upandaji miti kimkoa katika chanzo cha mto Mgugusi kinachopatikana katika hifadhi ya Lugumbilo Kij...
Tarehe ya Kuwekwa: December 22nd, 2022
ZOEZI la uandikishaji wanafunzi wa darasa la awali na darasa la kwanza mwaka 2023 linaendelea katika shule zote zilizopo Songea vijijini.
Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...