Tarehe ya Kuwekwa: September 30th, 2021
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wameendelea kuhamasika kuchanja chanjo ya UVIKO-19 baada ya kuelimishwa na kushuhudia madhara mbalimbali yatokanayo na ugonjwa wa UVIKO -19.
...
Tarehe ya Kuwekwa: September 24th, 2021
Mkoa wa Ruvuma leo umeanza kutoa mafunzo ya siku mbili ya Utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 kwa Timu za uendeshaji wa Huduma za afya Mkoa (RHMT) na Halmashauri(CHMT) pamoja na maafisa habari wa H...
Tarehe ya Kuwekwa: September 21st, 2021
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge Ajira na wenye Ulemavu( Mbunge) Mhe.Jesta Mhagama amesma wananchi wa jimbo la peramiho mkoani Ruvuma kuendelea kufungua fursa za kiuchumi kat...