• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MIRADI 44 ya kutoa ajira za muda mfupi ya ibuliwa na kaya masikini Songea.

Tarehe ya Kuwekwa: July 14th, 2021

Kaya masikini katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma zimeibua miradi 44 ya kutoa ajira za muda mfupi ambayo utekelezaji wake unatakiwa kuanza kutekelezwa mwezi Julai hadi Disemba 2021.

Mratibu wa TASAF wa Wilaya hiyo Hossana Ngunge amesema miradi iliyoibuliwa na kaya hizo ni ile ambayo haipo katika mfumo rasmi wa Serikali kama vile Wakala wa barabara za    Mijini na Vijiji (TARURA) Wakala wa Maji safi na Usafi wa Mazingira pamoja na Idara ya Kilimo.

 “Wataalam wanaohusika na miradi ambayo kaya hizo zimeibua watahusika kusimamia kazi hizo kwakushirikiana kwa pamoja na walengwa wenyewe na mtoa huduma wa Kijiji ambaye amepitia mafunzo ya kuhakikisha miradi inakamilika kwa viwango vinavyotakiwa”, amesisitiza Ngunge.

Ngunge ameitaja miradi hiyo kuwa ni uboreshaji wa visima vya asili,ujenzi wa barabara ujenzi wa vivuko na kilimo cha zao la korosho ambao utekelezaji wake ni matokeo ya TASAF awamu ya pili kipindi cha tatu kipindi kinachotakiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwezi Julai 2021.

Ameelezea masharti ya utekelezaji wa miradi hiyo kuwa miradi yote inatakiwa kutekelezwa kwa kipindi kisichozidi miezi sita na mlengwa atalipwa ruzuku ya shilingi 3000 kwa siku pia hatatakiwa kufanyakazi zaidi ya masaa 4 na kutembea umbali wa zaidi ya saa moja kufika eneo la mradi ulipo.

Amesema miradi hiyo inatekelezwa katika vijiji 32 kati ya vijiji 56 vya Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma na utaratibu wa kutoa ajira za muda mfupi upo tangu kipindi cha kwanza awamu ya tatu.

Baadhi ya wanakaya wanaohudumiwa na Mfuko huo wametoa wito kwa Serika kuwapa matibabu mara wanapo kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya kwasababu hawapati huduma ya dawa kulingana na mahitaji yao.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Kaimu Afisa Habari – Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa