• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Usafi Mazingira na Taka ngumu

KITENGO CHA USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA

UTANGULIZI 

Kitengo cha Usimamizi wa taka na usafi wa mazingira kinaendelea kutekeleza majukumu mbalimbali ya kila siku ya kusimamia shughuli za usafi na mazingira katika Halmashauri kwa lengo la kuimarisha usafi na utunzaji wa mazingira kuanzia ngazi ya kaya, kitongoji, kijiji, kata, wilaya, mkoa na Taifa kwa ujumla, kwa kuhamasisha jamii kushiriki kufanya usafi wa mazingira ili kuondokana na changamoto ya uzagaaji wa taka katika jamii hasa katika maeneo ya kaya, taasisi na maeneo ya biashara.

MAJUKUMU YA KITENGO 

Kitengo cha Usafi na usimamizi wa taka kinatekeleza majukumu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya afya ya jamii, Na. 1 ya mwaka 2009 na sheria ya utunzaji wa mazingira Na. 20 ya mwaka 2004 na mpango kazi wa taifa na hifadhi ya na usimamizi wa mazingira 2013- 2018, baadhi ya majukumu hayo ni  kama  yafuatayo;

Usafishaji na ukusanyaji wa taka kutoka kwenye majengo, maeneo ya wazi, barabara na mifereji ya kuondoa maji ya mvua.

Kuweka mifumo na miundombinu isiyoathilio afya na mazingira ya usimamizi wa taka kuanzia zinapozalishwa hadi zinapotupwa kwa kuzingatia utenganishaji, ukusanyaji na utupaji taka katika Madampo ya kisasa.

Kubuni mbinu za kupunguza taka na kusimamia utekelezaji wake ili kupunguza uchafu wa mazingira.

Kusimamia usafi katika mifereji ya kukusanya maji ya mvua na kuhakikisha inafanya kazi muda wote

Kufanya tafiti/uchunguzi kubaini aina ya taka zinazozalishwa kutoka katika masoko, makazi , maeneo ya biashara na taasisi.

Kuandaa na kusimamia miongozo ya kutenga maeneo kwa ajili ya kukusanya taka kwa muda.

Kutenga maeneo maalumu ya kuanzisha vituo vya kukusanya,kuchakata na kuhifadhi taka zitokanazo na vifaa vya umeme na elektronik, mafuta machafu na taka nyingine za sumu.

Kuweka vyombo vya kuhifadhia taka katika maeneo yote ya umma na kuhakikisha usafi wa maeneo hayo.

Kuainisha na kutenga maeneo maalumu na ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Dampo za kisasa

Kuweka na kusimamia miongozo ya utupaji wa mwisho wa taka ngumu na uendeshaji wa Dampo za kisasa

Kuweka tozo ya usimamizi wa taka inayozingatia gharama halisi ya huduma katika ukusanyaji hadi utupaji katika madampo ya kisasa.

Kutoa amri za kuzuia utupaji ovyo wa taka wa aina zote katika fukwe, maeneo ya wazi, mito na mifereji ya maji ya mvua

HITIMISHO

Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka imejipanga kuendelea kulipa umuhimu swala la usafi na kutia mkazo katika ngazi za chini ili iwe ni tabia katika jamii yetu watu kupenda kufanya usafi kwa ajili ya usalama wa afya na uboreshaji wa mazingira

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa