• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MBUNGE akabidhi bomba zenye thamani ya shilingi milioni 56 RUWASA

Tarehe ya Kuwekwa: July 16th, 2021

Waziri Ofisi ya waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira Kazi Vijana na walemavu na Mbunge wa Jimbo la Peramiho  Mhe. Jenista hagama amekabidhi bomba za kusambazia maji zaidi ya 300 zenye thamani ya Tsh.milioni 56 kwa Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini Songea kwalengo la kujenga na kuboresha miundo mbinu ya huduma ya maji katika Kijiji cha Mbingamharule Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma.

Mhe,mhagama amekabidhi bomba hizo kufuatia tatizo la upungufu wa upatikanaji wa huduma ya maji Kijijnii hapo baada ya mabomba ya awali ambayo yalikuwa yakisafirisha maji kutoka kwenye chanzo cha Mto Lilua hadi kwenye tanki kuchakaa.

Kuchakaa kwa bomba hizo kumesababisha adha kwa wananchi kupata maji kwakiasi kidogo ukilinganisha na mahitaji yao halisi  kwa siku.

Mhe.Mhagama ametoa wito kwa wananchi wa Kijiji hicho kuunganisha nguvu zao kuchimba mtaro umbali wa kilomita nne utakao tumika kulaza bomba za kusambazia maji  toka kwenye chanzo hadi kwenye tanki.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA wa Songea Mathias Pakras amesema bado kunatatizo kubwa la wananchi kuharibu vyanzo vya maji kwa kufanya kazi za kibinadamu ambazo zinasababisha vyanzo kuharibika na ufanisi wa vyanzo kuwa mdogo.

Pakras amezitaja hatua ya ujenzi wa mradi kuwa umefikia asilimia 65 na kazi mbalimbali zilizofanyika ni pamoja kujenga tanki lenye ujazo wa lita 75000,ukarabati wa vituo  vya kutolea maji 33 na ukarabati wa  bomba za usambazaji maji kwenye sehemu zenye mivujo ya maji.

Amezitaja kazi zilizo salia ili kukamilisha mradi kuwa ni ukarabati wa vituo vya kuchotea maji na mivujo kwenye bomba za usambazaji maji.

Naye Diwani wa kata hiyo Mhe,Nasri Mseremy Nyoni ametoa shukrani kwa Mbunge na Uongozi wa Halmashauri kwa kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za afya ,hosteli kwa ajili ya wasichana katika shule ya sekondari Mharule, nyumba za ibada na miundo mbinu ya barabara ,kitendo kinachojenga Imani baina ya wananchi na Serikali yao.

Amewarai wananchi wake kujenga mshikamo na ushirikano wanapohitajika kutekeleza majuku mbalimbali ya kijamii na ya Serikali kwa lengo la kupata mabadiliko chanya ya maendeleo.

Imeandaliwa na

Jacquelen Clavery

A/habari Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa