• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANANCHI Songea waomba miradi ya zahanati ikamilike haraka

Tarehe ya Kuwekwa: January 31st, 2019

Ujenzi wa zahanati ya Lipaya kata ya Mpitimbi wilayani Songea mkoani Ruvuma utasaidia kupunguza tatizo la kujifungulia njia  kwa akina mama wajawazito na vifo kwa watoto wachanga.

Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijij hicho kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyofanywa na kamati ya fedha, utawala na mipango.

Wamesema kukamilika kwa ujenzi wa zahanati hiyo kutasaidia kupunguza tatizo la akinamama wajawazito kujifungulia njiani wanapoenda kujifungua katika hospitali ya peramiho au hospitali ya mkoa zaidi ya umbali wa kilomita 10 na wakati mwingine hufia njiani au kupata matatizo ya kiafya.

“Wanasema tunapata shida kwa upande wa huduma za matibabu kwa kuwa wanalazimika kutembea umbali wa kilomita nane kuelekea Mpitimbi kwenye zahanati na mwendo wa zaidi ya kilomita 10 kufuata matibabu katika hospitali ya Mkoa au Peramiho’’, Alisema Veronika Komba na Danieli njovu.

Ujenzi wa zahanati ulichagizwa na wananchi wenyewe baada ya kukabiliwa na changamoto za huduma za afya mwaka 1992 kwa wananchi kufyatua tofari na kujenga boma kupitia michango yao na mbunge kuwachangia kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni mbili na serikali 2018 imetoa shilingi milioni 97,500,000 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi na kujenga nyumba moja ya mtumishi ,ujenzi ambao umefikia asilimia 75

Zahanati ya Lipaya ni miongoni mwa zahanati nne katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ambazo zinatarajiwa kupandishwa hadhi kuwa vituo vya Afya.Zahanati nyingine ni Nakahegwa,Mpingi na Lugagara.

 Mbunge wa Jimbo hilo Ndg Jenista Mhagama aliomba kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania  Kassimu Majaliwa Kassimu baada ya kufanya ziara katika Halmashauari ya Wilaya ya Songea Januari mwaka huu.

JACQUELEN CLAVERY . TEHAMA- HABARI 31.01.2019

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa