• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya

DC Ndile awataka watumishi kufanya kazi kwa umakini.

Tarehe ya Kuwekwa: February 2nd, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Wilman Kapenjama Ndile amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa ushirikiano na umakini ili ziweze kuleta matokeo chanya katika Halmashauri.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea alipokuja kujitambulisha katika ukumbi wa mikutano Lundusi-Peramiho ikiwa ni mara ya kwanza tangu alipoteuliwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Januari 25, 2023.

“Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuniamini na kuniteua kuwatumikia wananchi wa Wilaya ya Songea nawaahidi kuwapa ushirikiano wa hali ya juu katika kuhakikisha kila mmoja anatekeleza majukumu yake vizuri”, amesema Mheshimiwa Ndile.

Aidha, amewasisitiza Viongozi wa Kata na Vijiji wakishirikiana na walimu wakuu kufanya ufuatiliaji kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shule wahakikishe wazazi wanapeleka watoto hao shule kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria.

Akizungumza katika kikao iko amekemea uingizaji holela wa mifugo katika vijiji kwani Wilaya ya Songea ni  ya kilimo na sio ufugaji hivyo ameahidi kulisimamia vyema swala hili la uingizaji wa mifugo.

Mheshimiwa Ndile ameupongeza uongozi wa Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi na swala zima la ukusanyaji wa mapato.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Menas Komba akizungumza kwa niaba ya watumishi wote amemkaribisha Mheshimiwa Ndile, pia amemuahidi kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TAARIFA ya mapokezi ya fedha kiasi cha Shilingi Milioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa Songea DC.

    March 23, 2023
  • KAMATI zatakiwa kuwa makini katika kusimamia miradi

    March 16, 2023
  • TANGAZO LA KAZI

    March 09, 2023
  • ZIARA ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Ndile Songea DC

    March 07, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa