• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya

YALIYOJILI katika kikao cha robo cha baraza Songea Vijijini.

Tarehe ya Kuwekwa: February 1st, 2023

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Simon Kapinga amewataka waheshimiwa madiwani kisimamia vyema fedha za miradi ambazo zimepelekwa katika kata zao ili ziweze kukamilisha miradi iliyokusudiwa.

Ameyasema hayo katika kikao cha robo cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Lundusi- Peramiho.

Aidha, Mheshimiwa Kapinga ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwenye Kata, Vijiji na Vitongoji.

Vilevile kwa nafasi ya kipekee ametoa shukurani kwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kuendelea kupambana bega kwa bega na kuhakikisha kwamba changamoto mbalimbali ndani ya Kata zinaenda kupatiwa majibu.

“ Kwasasa hivi kazi yetu kubwa Waheshimiwa Madiwani ni kwenda kusimamia vizuri fedha ambazo zipo kwenye Kata zetu kuhakikisha kwamba miradi inakwenda kutekelezwa na kwa viwango vinavyokubalika “, amesema Mheshimiwa Kapinga.

Pia ametoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndugu Neema Maghembe, Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya fedha kwa kusimamia vizuri swala la ukusanyaji wa mapato na kutekeleza agizo la serikali la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na kwa watu wenye ulemavu ambayo itawasaidia kutimiza malengo waliyojiwekea.

Mheshimiwa Kapinga ameongeza kuwa kila mmoja asimame kwenye nafasi yake katika kutekeleza majukumu ili kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele.


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TAARIFA ya mapokezi ya fedha kiasi cha Shilingi Milioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa Songea DC.

    March 23, 2023
  • KAMATI zatakiwa kuwa makini katika kusimamia miradi

    March 16, 2023
  • TANGAZO LA KAZI

    March 09, 2023
  • ZIARA ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Ndile Songea DC

    March 07, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa