• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania apandisha hadhi zahanati kuwa vituo vya afya

Tarehe ya Kuwekwa: January 4th, 2019

Waziri Mkuu wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mh kassimu Majaliwa amebariki zahanati  4 kuwa vituo vya afya

Mhe Majaliwa amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Kilagano kijiji cha Lugagara  Songea vijijni wakati wa ziara yake ya kikazi aliyoifanya hivi karibuni  Wilayani humo.

Mh Majaliwa ametoa kauli hiyo kufuati ombi la Waziri wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kaz,i Vijana na Walemavu Mh Jenista Mhagama kuomba zahanati  4 zipandiswe hadhi kuwa vituo vya afya kwasababu  zinakidhi vigezo.

Waziri Mkuu amewataka wananchi kwa kushirikiana na Halmashauri kuongeza,kujenga nyumba moja ya mtumishi wa afya atakaye toa huduma katika vituo hivyo na chumba cha kuhifadhia maiti

Zahanati ambazo zimepewa hadhi ya kuwa vituo vya afya ni Lugagara,Nakahegwa, Mpingi na Lipaya ambazo zitatoa huduma za upasuaji,mama na mtoto maabara, huduma ya kuhifadhi maiti na matibabu ya nje.

Aidha Waziri Mkuu ameagiza Halmashauri ya Wilaya ya Songea kuanza  mara moja ujenzi wa hospitali ya Wilaya kwasababu serikali imeshatoa kiasi cha shilingi bilioni moja na nusu kwa ajili ya ujenzi huu,hata hivyo Halmashauri hiyo imeshaanza maandalizi kwa kutenga eneo lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 70 katika kata ya Mpitimbi ,kijiji cha Mpitimbi (b) ambako hosiptali hiyo itajengwa.

Amewata wananchi kuendelea kujenga zahati kwa vijiji ambavyo havina zahanati na serikali itatoa vifaa vya viwandani na watumishi

JACQUELEN CLAVERY-TEHAMA

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa