• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya

ZIARA ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Ndile Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: March 7th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Wilman Kapenjama Ndile ametembelea na kukagua miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Katika ukaguzi huo aliongozana na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Simon Kapinga na timu ya wataalamu.

DC Ndile amekagua ujenzi wa soko Peramiho ambalo linatekelezwa kwa fedha kutoka kwenye mfuko wa TASAF ambapo hadi kukamilika kwake kutagharimu fedha kiasi cha shilingi milioni 200,713,278.57

Vilevile amekagua mradi wa karakana ya jamii ya kutengeneza bidhaa za mbao kama madawati, meza na milango iliyopo katika Kata ya Parangu ambayo imegharimu fedha kiasi cha shilingi milioni 38,580,000 na Halmashauri ilitoa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana hao fedha kiasi cha shilingi milioni 8 kwa vijana hao kwaajili ya kununua vifaa visivyokuwepo.

Aidha, mradi huu umesaidia kuongeza ajira kwa vijana na kuongeza mapato ya Halmashauri na Serikali kwa ujumla kutokana na biashara ya bidhaa za mbao.

Akizungumza Mheshimiwa Ndile amewataka vijana kufanya kazi kwa bidii na waendelee kutengeneza bidhaa zenye ubora na viwango vya juu ili waweze kuaminiwa Zaidi na kupewa kazi nyingi ambazo zitawasaidia kupata fedha.

Pia DC Ndile amekagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mpitimbi ambapo walipokea fedha kiasi cha shilingi milioni 40 kutoka serikali kuu kwaajili ya kutekeleza mradi huu, mradi umekamilika na umeanza kutumika na wanafuzi wa kidato cha kwanza wa mwaka 2023.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TAARIFA ya mapokezi ya fedha kiasi cha Shilingi Milioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa Songea DC.

    March 23, 2023
  • KAMATI zatakiwa kuwa makini katika kusimamia miradi

    March 16, 2023
  • TANGAZO LA KAZI

    March 09, 2023
  • ZIARA ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Ndile Songea DC

    March 07, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa