• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

ZIARA ya Kamati ya fedha Songea vijijini

Tarehe ya Kuwekwa: January 20th, 2023

KAMATI ya fedha ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Menas Komba imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi inayotekelezwa Songea vijijini.

Ziara hiyo ya ukaguzi imefanyika kuanzia tarehe 18 hadi tarehe 20 Januari 2023.

Ukaguzi huo umefanyika katika Kata ya Muhukuru ambapo kuna ujenzi wa Zahanati ya Matama ambayo ilianza kujengwa kwa nguvu za wananchi na michango kutoka kwenye Shirika la NSSF, mfuko wa Jimbo na Halmashauri kwa ushirikiano mkubwa wa Diwani Mhe. Manfred Mzuyu na Mbunge Mhe. Jenista Joakim Mhagama.

Akisoma taarifa Mtendaji wa Kata amesema ujenzi wa Zahanati hiyo ulianza kujengwa mwaka 2016 kwa nguvu za wananchi zenye thamani ya shilingi milioni5, michango ya wananchi shilingi milioni 9 na laki 4, Mheshimiwa Mbunge Shilingi milioni 1, Mfuko wa Jimbo shilingi milioni 5, shirika la NSSF lilichangia nondo na mifuko ya saruji na Halmashauri ya Wilaya ya Songea ilichangia shilingi milioni 60, kutoka mapato ya ndani, aidha ujenzi huo upo katika hatua za mwisho za ukamilishaji.

Vilevile ukaguzi umefanyika katika Kata ya Muhukuru ambapo kuna ujenzi wa shule ya msingi mpya ya Lizaboni, Halmashauri ilipokea fedha kiasi cha shilingi milioni 250 kwaajili ya kutekeleza mradi huo.

Akizungumza katika ukaguzi huo Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Komba amemuagiza Mtendaji Kata aandike barua TFS ya kuomba miti iliipandwe katika maeneo ya shule ili ikikamilika iwe na mazingira mazuri.

Pia ukaguzi umefanyika katika Kata ya Ndongosi kijiji cha Namatuhi katika shule ya msingi Muungano ambapo kuna ukamilishaji wa vyumba viwili vya madarasa yaliyoanza kujengwa kwa nguvu za wananchi pia Halmashauri imepeleka fedha kiasi cha shilingi Milioni 25 kutoka mapato ya ndani kwaajili ya kukamilisha ujenzi huo.

Mwisho, ukaguzi huo umefanyika Kata ya Mpandangindo katika shule ya msingi Liweta ambapo Halmashauri ilipokea fedha kiasi cha shilingi milioni100 kwaajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa, ukarabati wa vyumba saba vya madarasa na ujenzi wa matundu 20 ya vyoo.

 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa