• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

YALIYOJIRI katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: December 2nd, 2022

HALMASHAURI ya Wilaya ya Songea imefanya maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yamefanyika katika Kata ya Mbinga Mhalule Desemba Moja.

Maadhimisho hayo yaliambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo upimaji wa ugonjwa wa UKIMWI, Kifua Kikuu, Utoaji wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano na utoaji wa elimu ya Lishe.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Simoni Boniface Kapinga ambae amemwakilisha Mwenyekiti wa Halmashauri amesisitiza watu watumie muda mwingi kuangalia, kulinda na kusimamia afya zao.

Aidha amewashauri wananchi wawe na tabia ya kwenda kituo cha afya kupima afya mara kwa mara hii itakufanya uwe salama sana na kujiwekea uhakika wa kuishi maisha marefu.

‘’Kufa kwa ugonjwa wa UKIMWI kwa sasa ni ushamba yapo magonjwa ambayo sasa ni hatari Zaidi kuliko vile ambavyo sisi tunadhani, ugonjwa wa UKIMWI upo lakini serikali yetu ya Tanzania inatumia fedha nyingi sana kwaajili ya kutafuta dawa zinazosaidia kufubaza virusi vya UKIMWI hivyo nawasihi ndugu zangu tuwe tunapima afya zetu mara kwa mara na pale tunapogundulika tumepata Ugonjwa huu tuweze kuanza dawa mapema’’, amesisitiza Mheshimiwa Kapinga.

Nae Diwani Kata ya Mbinga Mhalule Mheshimiwa Nasri Nyoni amewataka wananchi wasijiziuke sana wachukue tahadhari UKIMWI upo na amewataka wataalamu waweze kutoa elimu mara kwa mara kwa wananchi juu ya ugonjwa huu.

Kwaupande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe ambaye amewakilishwa na Mganga Mkuu wa Wilaya Geofrey Kihaule amesema Halmashauri imejipanga vizuri kwaajili ya kuimarisha usawa na kukemea unyanyapaaji kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.

‘’Ninawaomba wananchi muweze kutoa taarifa pale mnapokutana na vitendo vyovyote vya unyanyasaji, unyanyapaaji pamoja na udhalilishaji kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika Ofisi ya Mkurugenzi ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa’’, amesema Dokta Kihaule.

Kauli Mbiu, Imarisha Usawa kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa