• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWAMPAMBA AIPONGEZA SONGEA DC NA KUSISITIZA MIKOPO YA 10% IENDELEE KUTOLEWA.

Tarehe ya Kuwekwa: January 8th, 2026


Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea, Ndg. Mtela Mwampamba aipongeza Halmashauri ya Wilaya Songea kwa kutekeleza utoaji wa mkopo ya 10% kwa vikundi vya kinamama, vijana na watu wenye ulemavu katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Jenista Joakim Mhagama uliopo maposeni sekondari leo Januari 8.

Ambapo vikundi vya wanawake vikiwa ni 45, vijana vikundi 30, na watu wenye ulemavu ni vikundi 8 ikikamilisha idadi ya vikundi 83 ambavyo vimenufaika na mkopo wa 10% ambao ni sehemu ya kiasi cha shilingi millioni 726 ambazo ni mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya Songea

Katika hotuba yake amewakumbusha wanufaika wa mkopo huo wa 10% kuwa ikatumike katika shughuli za maendeleo ili wakainuke kiuchumi, kwasababu serikali imetoa mikopo hio kwa mwananchi mmoja mmoja huku ikiwa na masharti nafuu bila ribaa ambayo hayatombana mnufaika kuliko mikopo ya Taasisi binafsi alisema “mikopo ni mtaji” hivyo kujikita kwenye shughuli za uzalishaji iwe ni lengo lenu kuu.

Aidha amevitaka vikundi hivyo kurejesha mikopo hio kwa wakati ili wengine waweze kukopa itakapo kuja awamu nyingine. Pia aliwapongeza kwa uthubutu na ari waliyonayo kwani “nyinyi ni watenda kazi ndio maana mmekopa na mnakwenda kujishughulisha na kuachana na uvivu” alisema hayo wakati wa hutuba yake.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndug. George Ponera alipata nafasi ya kutoa salamu za Serikali amesema kuwa “mikopo hii ni muendelezo wayale ambayo Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hasan ameyasema kuyatekeleza”. Hivyo aliwataka wanufaika hao wakatekeleze shuguli za maendeleo “Turejeshe mikopo ili wengine wenye sifa na watakaokidhi vigezo waweze kuja kukopa katika awamu zijazo.

Pia Kaimu Mkurugenzi Bi. Bumi Kasege nae alitoa rai yake kwa wanufaika hao wa mkopo wa 10% ambazo ni sehemu ya pato la Halmashauri alisema “fedha ambazo mmepokea zikatumike sawa sawa na shughuli ambazo mmeombea” pia aliwataka wanufaika hao kuiombea Halmashauri iendelee kukua katika mapato yake ili na wao wanaSongea waendelee kunufaika Zaidi katika mkopo huu 10%.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • PPRA KANDA YA KUSINI YATOA MAFUNZO YA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA KWA WATUMISHI SONGEA DC

    January 13, 2026
  • MAAGIZO 10 YA NAIBU WAZIRI KWAGILA; WATAALAM WATAKIWA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA MIRADI

    January 11, 2026
  • WADAU SONGEA WAPEWA ELIMU YA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 09, 2026
  • MWAMPAMBA AIPONGEZA SONGEA DC NA KUSISITIZA MIKOPO YA 10% IENDELEE KUTOLEWA.

    January 08, 2026
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa