• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WIZARA ya Maliasili na Utali ya anza kutekeleza agizo la Rais

Tarehe ya Kuwekwa: February 26th, 2021

Wizara ya Maliasilia na Utalii imeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt John Pombe Magufuli ya kutaka somo la historia ya Tanzania  lifundishwe  kwenye shule.

Hayo ameyasema waziri wa maliasili na utalii Dkt Damas Ndumbaro wakati akifungua tamasha la 12 la kumbukuzi ya Vita vya Majimaji na Utalii wa ndani lililofanyika katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa ya Majimaji Manispaa ya Songea leo.

“Kupitia Makumbusho ya Taifa tunaunga mkono na kutekeleza agizo la Rais la kufundisha somo la historia ya Tanzania”,amesema Dkt Ndumbaro.

Dkt Ndumbaro amesema katika kutekeleza agizo la Rais Dkt Magufuli Wizara ya Maliasili na Utalii  kupitia Taasisi ya kielimu ya Makumbusho imezindua  klabu sita za historia na uzalendo kwenye shule kwa lengo la kukuza ufahamu wa wanafunzi  wa shule za msingi na sekondari kuhusu historia ya nchi yetu.

Dkt Ndumbaro amesema Makumbusho ya Taifa ni Taasisi ya Kielimu yenye jujkumu la kukusanya ,kutafiti, kuhifadhi na kuelimisha jamii kuhusu urithi wa Taifa letu,hivyo lina wajibu mkubwa katika kufundisha jamii historia ya Tanzania kwa vitendo yakiwemo matamasha na utalii wa kiutamaduni.

Kwa upande wake Dkt Christowaja Ntandu ambaye alimwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara hiyo amesema Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa michache inayo tekeleza kwa vitendo  matamasha ya kiutamaduni  na kukuza utalii wa ndani  wa malikale .

Ntandu amesema tamasha la kumbukizi ya vita vya majimaji na utalii wa utamaduni limekuwa linaumuhimu mkubwa kwasababu linatoa elimu kwa Watanzani kupitia makongamano na semina kuwafundisha Watanzania kujenga uzalendo, mshikamano,upendo  na kupenda vya kwetu.

Ameongeza kwakusema tamasha linatoa fursa ya pamoja ya kutafakari,kuenzi na kusherehekea matunda ya uzalendo ya wazee wetu ambao ni mashujaa wa vita vya majimaji ambao walipambana katika kuupinga utawala wa kikoloni mwaka1905 hadi 1907.

Tamasha la kumbukizi ya Vita vya majimaji ni la 12 tangu lianzishwe mwaka 2010 na miaka 114 imepita tangu mashuja hao wa vita kunyogwa katika eneo la Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma likiwa linaandaliwa  na Baraza la wazee wa mila na desturi,jeshi la wananchi na makumbusho ya Taifa.

Imeandikwa na 

Jacquelen Clavery 

Afisa habari Songea dc  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa