• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WEVYEVITI wa Vijiji wapata somo kuhusu mwongozo mpya wa ukusanyaji mapato

Tarehe ya Kuwekwa: February 3rd, 2021

Mwekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea  Mkoani Ruvuma Mh.Menasi Komba amewaagiza wenyeviti wa Vijiji kushiriki na kusimamia kwa  uadilifu kazi  ya ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri .

Komba ametoa agizo hilo katika kikao cha kawaida cha mwenyekiti wa Halmashauri na wenyeviti hao kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Komba amewaagiza wenyeviti  wa Vijiji kushiriki na kusimamia kwa uadilifu  kazi ya ukusanyaji mapato na kuto kujihusisha na hujuma yoyote katika kazi hiyo na atakaye bainika hatasita kumchukulia hatua za kinidhamu.

Amewaagiza kuwafuatilia na kuwa tambua wakulima na wafugaji wakubwa katika Vijiji vyao kwa lengo la kukabiliana na changamoto ya utoroshaji wa mapato ya Halmashauri.

Kwaupande wake kaimu mweka hazina wa Halmashuri hiyo Yasini Mohamedi Twaha amesema kitika kazi ya ukusanyaji wa mapato,serkali imeanisha vyanzo ambavyo ofisi ya mkurugenzi  wa Halmashauri itahusika kuyasimamia na vyanzo ambavyo vinaweza kukusannywa na mawakala .

Yasini amevitaja vyanzo ambavyo vinasimamiwa na Halmashauri kuwa ni leseni za biashara,ushuru wa huduma,leseni za vileo,kodi ya majengoya biashara,kodi za majengo ambazo awali zilikuwa zilikuwa zikikusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania,vibali vya ujenzi na vingine ni mauzo ya viwanja na upimaji wa ardhi,ada za ukaguzi wa mifugo,ada ya dhabuni, ushuru wa minada na ada na tozo nyingine kwa mujibu wa sheria ya fedha ya serikali za mitaa ya mwaka 1982.

Amevitaja vyanzo vya mapato ambavyo Halmashauri  itahusika kuwapa wakala ni ushuru wa madini ya ujenzi,maegesho ya magari,ushuru wa soko,ushuru wa mazao na ushuru wa mazao ya misitu.

Ameongeza kwakusema kwa mujibu wa mwongozo  mpya wa ukusanyaji mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa wakala atalipwa asilimia 10 ya makusanyo aliyoyawasilisha.

Baadhi ya wenyeviti wametoa ushauri  kuwepo na kikosi cha doria ambacho kitakuwa shirikishi  katika kukabiliana na baadhi ya wafanyabiashara na wafugaji wasumbufu katika kulipa ushuru pamoja na kutokuwapa wakala mkataba wa muda mrefu kwalengo la kuepusha kuzalisha madeni .

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery,

Afisa Habari Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa