• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: May 21st, 2025

 

Madaktari Bingwa Zaidi ya saba, wanategemea kuwepo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, kuanzia Mei 26, 2025 hadi Meji 31, 2025 kwa lengo la kutoa huduma za Kibingwa na Ubingwa Bobezi kwa Wananchi katika  Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Akilizungumzia hili, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Songea, Bi Elizabeth Mathias Gumbo, Amewatangazia wananchi wote kuwa kuanzaia Tarehe 26-31 Mei 2025, kutakua na huduma za kibingwa na Ubingwa Bobezi katika hospitari ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea.“ MADAKTARI WA RAIS SAMIA “ambao watakuwepo kuhudumia Wananchi wote  katika Hospitari ya Wilaya.

Lengola Ujio wa Madaktari Bingwa ni muendeleza wa mapenzi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake katika kuimalisha ubora wa matibabu na kupunguza vifo kwa makundi mbalimbali hasa vinavyotokana na uzazi na Watoto wachanga.

Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Dr. Geofrey Kihaule amesema “ katika Hospitari ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea tunategemea kupokea seti ya madaktari saba, (7) ambao watajikita kutibu magonjwa kwa wagonjwa mbalimbali, huku akitaja Madaktari watakaokuwepo na Magonjwa yatakayoshughulikiwa kama vile:-

  • Daktari Bingwa wa magonjwa ya Wanawake na Ukunga
  • Daktari Bingwa au Bobezi wa Magonjwa ya Watoto na Watoto Wachanga
  • Daktari Bingwa wa Upasuaji na Mfumo wa Mkojo
  • Daktari Bingwa wa Usingizi na Ganzi
  • Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani
  • Daktari Bingwa wa Kinywa na Meno
  • Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa
  • Muuguzi Bobezi
  • Daktari Bingwa wa Pua, Koo na Masikio ( ENT Surgeon)

Daktari Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amemaanisha hasa kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma bora ya Afya, na pia kuhakikisha anawaleta madaktari Bingwa mala kwa mala ikiwa ni Sehemu ya kuwapunguzia wananchi kero ya kusafili kuelekea muhimbili kupata huduma.

Kwa niaba ya Mkurugenzi, Dr. Kihaule amemshkuru sana Dkt Samia, na Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama, kwa kuendelea kuhakikisha Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea,  wanapata Huduma bora ya Afya.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa