• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: April 29th, 2025

Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Robo ya tatu yaani  Januari- Machi, 2024/2025 uli0fanyika leo april 19, 2025 ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea – Lundusi ambao Umeongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhe. Simon Kapinga, Huku Katibu wake akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi Elizabeth Mathias Gumbo, wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na Waziri wa Afya ambaye pia ndio Mbunge wa Jimbo la Peramiho kwa mambo makuu walioifanyia Songea DC.

Akizungumza katika Mkutano huo kwa niaba ya Madiwani, Mhe Kapinga amesema “Tunamshukuru sana Mhe Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha kila kata iliyopo halmashauri ya Songea kupata Fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo, Amemshukuru Pia Mbunge kwa kuwaletea wananchi wa jimbo la Peramiho maendeleo, na hasa Kuleta Madaktari Bingwa kwa ajili ya Kuwatibu wananchi wa Songea.  

Mkurugenzi Mtendaji Bi Elizabeth Gumbo, alitumia fursa hiyo ya Baraza pia kuwaarika viongozi wote na Wananchi katika Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, unaotegemea kufika katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mei 10, 2025.

“Mweenge Wetu wa Uhuru utaingia Halmashauri yetu kupitia Kata ya Mpandangindo na utapitia miradi yetu kisha kutakua na mkesha katika kata ya Magagura. Hivyo naomba wageni wote mliohudhulia kikao hiki, tuungane pamoja kuhakikisha tunakesha pamoja na Mwenge” Gumbo

Mkutano huo uliobeba Agenda 10, pamoja na mambo mengine kulikua na uwasilishaji wa taarifa kutoka kwenye kamati mbalimbali kama vile, Kamati ya Maadili, kamati ya kudhibiti Ukimwi, Kamati ya Elimu Afya na Maji, Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira pamoja na Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • KIASI CHA TSH.BILION 1,389,105,648 KIMEPOKELEWA KUTOKA TASAF KWA AJILI YA KUJENGA MIUNDOMBINDU MBALIMBALI SONGEA DC.

    February 02, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa