• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

Tarehe ya Kuwekwa: May 24th, 2025


Mkutano Maalumu wa Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri ( Mawasiliano Serikalini) uliofanyika jijin Dodoma katika Mji wa Kiserikali Mtumba,  ulioanza Mei 23, 2025 na Kumalizima Mei 24,2025 Ulifunguliwa na Mhe Mohamed Mchengerwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI  na Kufungwa na Msemaji Mkuu wa Serikali Mhe. Gerson Msigwa ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Mkutano huo umemalizika huku ukiwa na mtazamo wa pamoja ulio chanya kwa maslahi mapana ya Nchi.

Mkutano huo uliokua na lengo la kukumbushana majukumu, lakini pia kushauliana mambo mbalimbali ya kiutendaji pamoja na kujadili changamoto zinazowakuta Wanahabari katika kutimiza majukum yao.

Viongozi hao, Pamoja na mambo mengine wameendelea kusisitiza juu ya wanahabari kuwa Wazalendo katika kuipigania Nchi yao huku wakisisitizwa kuwa kama wanahabari wote watatimiza majukumu yao vema, wananchi watayaona na kuyasikia mambo mazuri yanayofanywa na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Haasan.

“Hakikisheni mnaandika habari zenye hamasa na kuibua ushuhuda kuhusu kazi za serikali nan a miradi inayotekelezwa ambapo viongozi wa ngazi husika na wananchi wa wakaida wahusishwe kuusemea mradi au kazi Fulani zinazotekelezwa katika maeneo yao” Mhe Mchengerwa

Ameelekeza pia Maafisa Habari washiriki ziara za viongozi na Timu za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo na kupatiwa mafunzo mbalimbali yanaendana na taaluma zao, huku akisisitiza kuwapatia stahiki zao ili kuwezesha utendaji wa kazi zao.

“Maafisa habari mnapaswa kuwa sauti ya serikali katika maeneo yenu, mnawajibu wa kuhakikisha mafanikio ya serikaliyanawafikia wananchi na pia changamoto zinazojitokeza zinaelezwa kwa uhalisia wake” Msigwa

Maafisa habari, baada ya kupokea maelekezo ikiwa ni pamoja na kuhakikishiwa kufatiliwa na kuwekwa sawa kwa mambo yao ikiwa ni pamoja na Ofisi, Vitendea kazi na maslahi yao, wameahidi kuendelea kuisemea serikali kwa mambo mazuri yanayofanywa katika uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • WASIRA ATIA NENO UKAMILISHAJI WA MIRADI SONGEA DC, AMPONGEZA DKT. SAMIA

    June 12, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA SONGEA AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUSIMAMIA VIZURI UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE BORA

    June 11, 2025
  • MATUMIZI YA LISHE ILIYO BORA YASISITIZWA MASHULENI

    June 10, 2025
  • KITUO CHA AFYA MATIMILA CHAKABIDHIWA GALI LA WAGONJWA.

    June 06, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa