• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

watawa wa fungua daraja

Tarehe ya Kuwekwa: October 16th, 2018

Watawa wafungua daraja

Watawa wa Shirika la Mt Agnes Chipole wamerususu wananchi kutumia daraja la Tulila mto Ruvuma katika kijiji cha Mipeta

Wananchi wameruhusiwa kutumia daraja hilo kufuatia mazungumzo ya pamoja baina ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh Pololeti Mgema na uongozi shirika hilo.

Awali wananchi waliruhusiwa kutumia daraja hilo mara baada ya kukamilika kujengwa,lakini baada ya kurusiwa  baadhi ya wananchi ambao sio waaninifu walianza kuhujumu miundo mbinu ya darja hilo kwakuiba vifaa mbalimali vilivyotumika kujengea daraja hilo.

Kufuati hali hiyo Shirika la watawa likaamua kuzuia wananchi kupita katika daraja hilo na kuwa jengea daraja sehemu nyingine ambalo limeonakana linaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wa kijij cha Mipeta na maeneo mengine.

Mh Mgema ameagiza uwepo ulinzi Shirikishi baina ya wanakijij cha Mipeta na watawa katika kuhakikisha miundo mbinu ya daraja hilo inalindwa na kubaki salama,pia wananchi warusiwe kupita kwa masharti ya muda kuanzia saa 12 asubuhi  hadi saa 12 jioni baada ya hapo wataruhusu kupita watu wenye dharula kama wagonjwa .

Daraja la Tulila linaunganisha Kijiji cha Mipeta na Halmshauri ya Wilaya ya Mbinga ambako wananchi wa kijiji cha mipeta na maeneo mengine wanategemea sana huduma za matibabu katika kituo cha Afya Kalembo ambacho kipo katika H/mashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Daraja la mto tulila ni sehemu iliyojengwa bwawa la kufua umeme ambao unatumika kutoa huduma ya nishati ya umeme katika Halmashauri zote katika Mkoa wa Ruvuma isipokuwa Tunduru

Aidha mfadhiri aliyefadhiri ujenzi wa bwawa na daraja hilo Bw Robat Rocker amejitolea kusaidia ujenzi wa daraja katika kijiji cha Mipeta mto Ruvuma kwa serikali kufanya upembuzi yakinifu wa awali na kuainisha gharama na yeyeyupo tayari kusaidia.

JACQUELEN CLAVERY-TEHAMA

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa