• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Watanzania watahadharisha dhidi ya matumizi ya bidhaa za plastiki

Tarehe ya Kuwekwa: November 7th, 2018

 WATANZANIA wametahadharishwa kuchukua tahadhari dhidi ya matumizi ya bidhaa za plastiki ambazo zinatajwa kuleta athari za kiafya na kimazingira  ahadhari hiyo imetolewa na Mratibu wa Baraza la Taifa la  Mazingira(NEMC) Kanda ya kusini Bw Lewis Nzali katika mkutano wa taarifa ya uharibifu wa mazingira uliofanyika hivi karibuni mjini songea.

Bw Nzali amesema Watanzania wachukue tahadhari dhidi ya matuzimizi ya vifaa vilivyotengenezwa kwakutumia plastiki kwasababu vinamadhara makubwa kwa afya ya binadamu na wanyama  kwakuwa vinatengenezwa kwa kutumia gesi asilia au petroliamu ambazo zinaviambata vyenye sumu na kuathiri  afya ya binadamu.

“Matumizi ya vifaa hivyo vinasababisha madhara kupitia kwenye maji,udongo na hewa ambapo binadamu na wanyama wanaishi na kupata  mahitaji mbalimbali muhimu kwa matumizi ya kila siku’’,amesema.

Ameyataja baadhi ya madhara yatokanayo na matumizi ya vifaa hivyo ni mabadiliko ya kimaumbo kwa wanaume na wanawake kama vile wanaume kuwa na maziwa makubwa kuliko kawaida,kukosa nguvu za kiume,kuzaa watoto wasiokuwa wa kawaida,kansa,magonjwa ya njia ya hewa,mimba kuharibika  kuvimba mwili,na hatimaye kusababisha vifo katika jamii.

Bw Nzali amesema uharibifu wa mazingira unaotokana na matumizi  ya vifaa vya plastiki ni kifo kwa binadamu na viumbe hai wengine kwakusababisha uharibifu wa hali ya hewa wakati wa kuchoma taka, kuwaashia moto majumbani badala ya mafuta ya taa,mifuko kwa ajili ya kubebea vyakula kama chipsi vyakula mbalimbali na matumizi mengine.

Matumizi mengine ni vifungashio kwenye bidhaa mbalimbali,barafu karanga, chupa za plastiki za soda,kapeti na midoli ya kuchezea watoto

Watanzania wachukue tahadhari dhidi ya matumizi ya vifaa nya plastiki ambavyo vimebainika kuwana madhara ya kiafya kwa binadamu na viumbe hai wengine .

Sera ya mazingira ya mwaka 1997 inaelekeza pawepo na mazingira salama kwa ajili ya uzalishaji wa mazao,upatikanaji wa maji safi na salama katika maeneo yote ya mijini na vijiji na hali ya hewa safi na salama.

Imeandaliwa na Jacquelen clavery

Kaimu,Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Novemba 7,2018

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa