• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WATAKAO kiuka maadilli ya kazi zao kushughulikiwa.

Tarehe ya Kuwekwa: December 15th, 2020

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Mhe Menasi Komba ameonya watakao kiuka maadili ya kazi yao watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa na serikali.

Mhe.Komba ametoa onyo hilo katika kikao cha kuwaapisha madiwa kilicho fanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo uliopo Mji mdogo wa Peramiho hivi karibuni.

Komba amewaonya madiwani na watendaji wa Halmashauri kuzingatia maadili,miko na mipaka ya kazi zao ili kuepusha migongano katika kutekelaza majuku waliyo kasmiwa na serikali.

“Nataka Halmashauri yangu iongoze kwa mapato ya ndani ya Mkoa kwani kuna fursa nyingi bado hazijafanyiwa kazi” amesema Mhe Komba.

Komba ametaka kila idara na kitengo kukusanya mapato kupitia chanzo chake cha mapato pamoja na  kuibua vyanzo vipya vya mapato, na kuangalia  tozo na ushuru ambao ni kero kwa lengo la kuwasaidia   wananchi

.Ameongeza kwakusema wananchi wasianzishe miradi ya ujenzi wa maboma pasipo kibali cha Halmashauri kwasababu yapo nje ya utaratibu wa bajeti ,yaliyojengwa yafanyiwe kazi ili yaweze kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi.

Kwaupande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Pendo Ndumbaro ametoa rai kwa madiwani kujiepusha na maslahi binafsi na kujua mipaka ya kazi yao katika kuwatumikia wananchi wao.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Simon Bulenganija amewahahidi madiwani  kufanya kazi kwa uaminifu na ushirikiano  kwakuweka mipango na utaratibu wa pamoja katika kutatua changamoto za Halmashauri.

Jumla ya madiwani 22 wameapishwa kati yao wa Kata wakiwa 16 na wa viti maalumu sita.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari Songea DC

14,12,2020.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa