• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Waratibu elimu kata wakabidhiwa pikipiki

Tarehe ya Kuwekwa: July 31st, 2018

Serikali kupitia OR-TAMISEMI Imewakabidhi Waratibu Elimu Kata pikipiki kwa lengo la kufutilia utendaji kazi na kuhakikisha kiwango cha taaluma kinapanda katika Halmashauri ya wilaya ya songea

Kauli hiyo imetolewa mkuu wa wilaya ya songea Mh Pololet Mgema katika hafla fupi ya kuwakabidhi waratibu elimu kata pikipiki 16 wa kata zote ilyofanyika katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya songea hivi karibuni.

Mh Mgema amewataka waratibu Elimu kata kutumia pikipiki walizopewa kwa malengo yaliyo kusudiwa pamoja na kufutilia utendaji kazi wa Elimu na kuhakikisha kiwango cha taaluma kinaongeza zaidi

Mh Mgema amesema serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mh Dkt John Pombe Magufuli  imejidhatiti katika kuhakikisha inaendelea na uboreshaji wa utoaji wa huduma za jamii  zikiwemo Elimu,afya Ujenzi wa miundo  mbinu ya maji na barabara na utoji wa vitendea kazi kwa wafanyakazi   nia ikiwa kutoa huduma stahiki  kwa wananchi.

Adha Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mh Rajabu Hassani Mtiula amesema kulingana na jiofrafia ya Halmamashauri yake usafiri kwa  waratibu Elimu kata ilikuwa ni changamoto  katika kutekeleza majukumu yao ipasavyo,hivyo upatikanaji wa usafiri wa pikipika utawasaidia kutekeleza majukumu yao kwa wakati  na amewataka kutunza pikipiki hizo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bw Simoni Bulenganija amesema serikali imewarahisishia kazi hivyo wafanye kazi na kuleta mabadiliko makubwa ya kitaaluma katika Elimu ya Msingi,Sekondari na katika Stadi za kusoma,kuhesubu na kuandika ( KKK) na kuacha kisingizio cha kukosa asafiri pale wanapotakiwa kwenda  kufanya shughuli za ufutiliaji Elimu.

Prospa Njiwa ni moja kati ya waratibu walionufaika na pikipiki hizo akizungumza kwa niaba ya wengine ameishukuru serikali kwa kuwapatia usafiri ambao utawasaida kutatua changamaoto kwa kwa upande wa usafiri kuwafikia watendajiwa wanao wasimamia na umewarahishia sana kazi

JACQUELEN CLAVERY-TEHAMA

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa