• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WATAHINIWA 5157 WA DARASA LA NNE SONGEA DC, WAANZA MITIHANI YAO LEO

Tarehe ya Kuwekwa: October 22nd, 2025


Watahiniwa 5157, ikijumuisha wavulana 2527 na wasichana 2630 wa darasa la nne katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea, leo Octoba 22, 2025, wameungana na wanafunzi wengine Nchini  kukuketi kwa ajili ya mtihani wao wa Taifa

Akizungumza kwa niaba ya Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bi. Elizabeth Gumbo amewataka kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la nne ndani ya Halmashauri hiyo katika mitihani Yao ya kujipima ya Taifa ambayo Imeanza Leo Oktoba 22 na inatarajiwa kumalizika Octoba 23 2025.

Katika hatua nyingine amewashukuru walimu wa shule zote katika Halmashauri hiyo kwa kuwaandaa vyema wanafunzi hao na kusema anawaombea kwa mwenyezi Mungu ili wafanye mitihani Yao salama kabisa.

Amabapo masomo 6 yatakayokwenda kupimwa ni Sayansi, Hisabati Jiografia na mazingira; Sanaa na Michezo, Kiswahili, English language, Historia na maadili. Pia kuna masomo ya kuchagua ambayo ni France, Arabic, Chinese.

Umuhimu wa upimaji wa kitaifa kwa darasa la 4 ni kuangalia kiwango cha juu cha stadi za juu za kusoma, kuandika na kuhesabu ambapo hupimwa kiwango cha umahiri kwa masomo yanayotahiniwa katika ngazi hio.

Lakini matokeo ya upimaji huu huwawezesha wakuu wa shule na walimu kubaini changamoto za wanafunzi katika mbinu zilizotumika kwenye ufundishaji na ujifunzaji Ili kuboresha mbinu mpya za ufundishaji na ujifunzaji.

Aidha Baraza la mitihani limeendelea kusisitiza kuwa wasimamizi walioteuliwa kufanya kazi hiyo kwa umakini, weledi na uadilifu wa hali ya juu ili kila mwanafunzi apate haki yake ya msingi.

Watahiniwa wote watafanya upimaji huu katika muda uliopangwa. Baraza limewataka wasimamizi wawape watahiniwa haki zao za msingi kulingana na mahitaji yao kama karatasi za nukta nundu kwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu na karatasi zilizokuzwa maandishi kwa watahiniwa wenye uoni hafifu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • STENDI MPYA NA YA KISASA YA PARANGU, YAANZA KUONESHA NURU

    October 23, 2025
  • WATAHINIWA 5157 WA DARASA LA NNE SONGEA DC, WAANZA MITIHANI YAO LEO

    October 22, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA AWASISITIZA WANANCHI / WATUMISHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 21, 2025
  • SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA SONGEA DC: ZAIDI YA MILIONI 891 ZATOLEWA KUJENGA VITUO VIPYA VYA AFYA

    October 18, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa