• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wanasiasa waaswa kutoingilia kazi za wataalam

Tarehe ya Kuwekwa: April 25th, 2019

WANASIASA wameonywa kutoingilia kazi zinazofanywa na watalaam

Onyo hilo limetolewa na  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma mh Oddo Mwisho  wakati wa kikao cha viongozi wa CCM Mkoa na Wilaya na wataalam wa Halmashauri ya Madaba na Songea vijiji kilicho fanyika katika ukumbi wa CCM Manispaa ya songea hivi karibuni.

Mhe Mwisho amesema wanasiasa wasiingilie kazi za wataalam kwasababu kazi hizo ni za kitaalam na wao wawe wasimamizi kwa mujibu wa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapiduzi invyowaelekeza kukagua miradi ya maendeleo kila baada ya miezi mitatu.

Amesema mwingiliano wa utendaji kazi baina ya wanasiasa na wataalam unasababisha usimamizi mbovu wa miradi na mingine kutekelezwa chini ya kiwngo jambo ambalo halileti tija kwa serikali na wananchi kutopata huduma stahiki kwa wakati.

Maelekezo yanayotolewa na wanasiasa katika utekelezaji wa miradi yamekuwa ni vikwazo vya kukwamisha utekelezaji wa miradi na utoaji wa huduma kwa wananchi,wanasiasa wawe wasimamizi na kushauri nasiyo kutao maelekezo ya kiutalaam.

 “ Usijivunie taaluma yako bali jivunie matokeo chanya ya kazi ya taaluma yako,”alisema Mwisho na kuongeza kuwa Serikali inatoa pesa nyingi kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo hivyo wataalam  waachwe watekeleze majukumu yao kwa mujibu wa sheria,sera na taratibu zilizopo..

Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Songea Nelly Duwe amewataka wanasiasa na wataalam kuendelea kuchapa kazi kwakila mtu katika eneo lake nakuacha visingizie visivyokuwa na maana katika  kusimamia na kutekeleza majukumu ya serikali.

Mifumo ya mabadiliko ya uongozi katika serikali ya awamu ya tano inayoongozw na Dkt John Pombe Magufuli inalengo la kujenga na kukuza mahusiano baina ya viongozi wa chama na serikali katika kuijenga Tanzania kuelekeauchumi wa kati.

Jacquelen clavery -tehama

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa