• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

wananchi wa jimbo la peramiho wapongeza umahiri wa Mbunge Mh Jenista Mhagama

Tarehe ya Kuwekwa: November 8th, 2018

Wananchi wa Jimbo la Peramiho Mkoani Ruvuma wamepongeza na kutambua jitihada za Mbunge wao Mh Jinista Mhagama  katika  utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi kwa vitendo.

Wamesema kwa nyakati tofauti katika maadhimisho ya wiki ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) yaliyo fanyika hivi karibuni katika Kijiji cha Namatuhi Wilayni songea.

Wananchi wamesema wanatambua umahiri na  jitihada  zinaofanywa na Mbunge  katika kuchangia ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kuhakikisha wananchi wanafikiwa na huduma za kijamii katika makazi yao.

“Chifu wa wangoni Emanueli Gama anamfananisha Mh. Mhagama na Mtawala wa 7 wa Misri Malkia CLEOPATRA  sio kwa uzuri bali kwa uhodari wake wakuchapa kazi bila kuchoka ndo maana Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt John Pombe Magufuli  alimteua kuwa waziri”alisema chifu Gama.

Graceana Ntanga ni miongoni  mwa wananchi wa jimbo la Peramiho anasema anatambua umahiri wa  Mh. Mhagama katika swala zima la kuwasaidia wananchi kwa vitendo na michango ya fedha katika uanzishaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Mh. Mhagama amekuwa kiongozi mahiri na mfano wa kuigwa katika kutekeleza Ilani  ya Chama cha Mapinduzi kwa vitendo kwa wananchi kwakutoa michango ya mawazo, ushauri na fedha katika miradi ya maji hususani uchimbaji wa visima ambavyo vimechimbwa takribani  maeneo yote ya Jimbo la Peramiho, ujenzi wa miundo mbinu ya barabara, umeme wa jua, ujenzi wa miundo mbinu ya mashule, Zahanati, SACCOS, vikundi mbalimbali vya wanawake na Vijana na vifaa mbalimbali vya viwandani

Aidha Mh.  Mhagama amewasaidia wananchi  kwa kuanzisha shule shikizi za Ulamboni,Lunyele Maleta,Jenista,Mborongo, nyingine ni Lihuhu, Ligunga, Mhimbasi na Selekano ambazo wananchi walikuwa wakimwomba  kuanzishiwa shule hizo kwasababu ya  wao kuhama toka makazi yao ya awali na kutafuta maeneo kwa ajili ya shughuli za kiliomo hivyo kushindwa kumudu umbali mrefu wa kuwapeleka watoto wa kupata Elimu kwenye shule mama.

Imeandaliwa na jaccquelen Clavery kaimu Afisa Habari  Songea DC   

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa