• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WAKULIMA washauriwa kuwa na mashamba ya pamoja ya mazao ya kimkamkati

Tarehe ya Kuwekwa: September 17th, 2021

Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma wameshauriwa kuwa na shamba la pamoja la mazao ya kimkakati kwajili ya kunufaika na fursa za kilimo na kuongeza kipato.

Ushauri huo umetolewa na Afisa kilimo wa Halmashauri hiyo Hellne Shemzigwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Magwamila kilichopo Kata ya Mhukuru Lilahi.

Shemzigwa amefafanua shamba la pamoja kuwa ni shamba linalotekelezwa na wananchi,Taasisi,Mashirika na Makampuni kwa kulima eneo moja lililotengwa na kukubaliwa na Serikali ya Vijiji kwa lengo la kulima mazao ya kimkakati ambayo ni alizeti,ufuta,soya na korosho na mazao mengine ambayo yanatoa fursa kwa wakulima.

 Katika kufanikasha adhima hiyo  Halmashauri imeanza uhamasishaji kwakufikia wananchi na kuwapa elimu kuhusu umuhimu wa kilimo cha pamoja kwa njia ya mikutano ya hadhara na wananchi  wamekubaliana na mpango huo.


Shemzigwa amezitaja faida za kuwa na shamba la pamoja kuwa ni kuzalisha ajira ndogondogo,uratibu wa masoko ambao unafanywa na Serikali,kuongeza uzalishaji,urahisi wa usimamizi na ufuatiliaji na kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na pato la Serikali.

Shemzigwa ameongeza kwa kusema kwa Upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mazao ambayo yanapendekenzwa kwakuanzia ni korosho zao ambalo linastawi katika maeneo yawastani,na zao la alizeti zao ambalo linastawi katika maeneo yote ya Wilaya hiyo.

Kwa upande wao wananchi wa Kijiji cha Magwamila  wametenga eneo lenye ukubwa wa hekari 500 kwa ajili ya kilimo cha zao la korosho zao ambalo linastawi vizuri sana katika Kata hiyo na Kata ya Muhukuru Barabarani.

Uzalishaji wa zao la korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea umeshuka hadi kufikia chini ya tatu  kufutia serikali kusitisha zoezi la ugawaji wa ruzuku jambo lililopelekea wakulima kutelekeza mashamba yao na kuhamia kwenye kilimo cha mazao mengine.

Kilimo chapamoja ni kilimo kikubwa ambacho kinaenda sawa na kilimo cha mkataba kilimo ambacho mkulima anaingia mkataba na makampuni kwa kupewa pembejeo za kilimo kwa makubaliano baada ya mavuno mkulima atawajibika kuuza mazao yake kwenye kampuni husika.

Imeandaliwa na kuandikwa na 

Jacquelen Clavery

SongeaDC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa