• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wafugaji waelimishwa kuhusu ufugaji kwa njia ya vitaru

Tarehe ya Kuwekwa: August 28th, 2019

Wafugaji wa Elimishwa kuhusu umuhimu wa kufuga kwa njia ya vitalu.

Wafugaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma wameelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuga kwanjia ya vitalu ,ufugaji a mbao utaleta tija kwa wafugaji naTaifa pia utapunguza kwakiasi kikubwa migogoro baina ya wakulima na wafugaji .

Elimu hiyo imetoleawa na Daktari wa mifugo wa Mkoa wa Ruvuma   Dkt Ramadhan I Mwaiganju katika mkutano wa wafugaji wakubwa na wadogo na wataalamu wa mifugo wa Mkoa na Wilaya uliofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma.

Dkt Mwaiganju amesema ufugaji kwa njia ya kitalu unafaida kubwa kwa jamii na wafugaji wenyewe kwasababu utasaidia kuondoa migogoro baina yao na wakulima,wafugaji kumiliki ardhi badala ya kuhamahama,pia utasaidiakuboresha huduma mbalimbali za kijamii na kudumisha hali ya lishe katika kaya kutokana na mazao ya tokanayo na mifugo hiyo.

Ameitaja mikakati ya baadaye ya kuwawezesha wafugaji kuishi katika mazingira bora zaidi ni kuwajengea uwezo wa kuwekeza katika miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ujenzi wa mahoteli,nyumba za kulala wageni, maduka ya vinywaji ,maduka ya nyama na viwanda vidogovidogo.

Awali akifungua mkutano huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashaurihiyo Bw Simoni Bulinganija amewataka wagufaji kuzingatia mabadiliko ya kisera yenye lengo la kuboresha na kuleta tija katika sekta ya mifugo kuelekea uchumi wa kati waviwanda.

“Nchi inaingia katika uchumi wa kati waviwanda wafugaji mnachango mkubwa hivyo muone namna gani mtasaidia,”alisemaBulengaji.

Kwa upande wao wafugaji wamefurahishwa na utaraibu ambao serikali inawata kufuga kupitia vitalu, nao wapo tayari kuutekeleza. Kwasababu utawanufaisha kwakuachana na tabia ya chuki ambayo waliiona kama njia moja wapo ya kupambana na wakulima pindi mifugo yao inapoharibu mazao ya mkulima na kutambuliwa kisheria tofauti na ufugaji awli.

Mkoawa Ruvuma unawafugaji 321 wakubwa na wafugaji wadogo 17 wakati Halmashauri ya Wilaya ya Songea inawafugaji 91 wakubwa na wadogo ni zaidi ya 800,aidhaHalmashauri imetenga vitalu 160 katika vijiji vya Mhepai ,Magwamila na Nambendo.

NA JACQUELEN CLAVERY-SONGEA DC

KAIMU AFISA HABARI.

28 / 08/ 2019.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa