• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wafugaji wa kuku Songea washauriwa kutumia teknolojia rahisi

Tarehe ya Kuwekwa: December 9th, 2020


Wafugaji wa kuku wa Kijiji cha Nakahegwa ,Kata ya Mbinga Mhalule wameshauriwa kutumia teknolojia rahisi katika kufanikisha malengo yao ya ufugaji ili waweze kupata mafanikio ambayo yatawawezesha kupunguza umasikini wa kipato katika kaya zao.

Ushauri huo umetolewa na Afisa mifugo wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Dr Erick Kahise katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wafugaji kuku wa kikundi cha federation moja kilichopo katika kijiji cha Nakahegwa.

“Ufugaji utawasogeza mbele,”amesema Dr Kahise

Dr Kahise amesema ili mfugaji aweze kupata mafanikio chanya afuate kanuni na taratibu za ufugaji kupitia teknolojia rahisi ikiewemo ujenzi wa mabanda ya kawaida ambayo vifaa vyake vinapatikana katika mazingira yao wanayoishi mfano miti na nyasi.

Ameongeza kwa kusema wafugaji wafuge kitaalam kwa kuwashirikisha wataalam wa mifugo kuanzia hatua ya awali ya utayarishaji wa banda, matumizi ya chanjo na utengezaji wa chakula ambao unafaa kulisha kuku.

Dr Kahise amesema ufugaji usiozingztia kanuni na taratibu za ufugaji unasababisha hasara kwa wafugaji kufuatia kuku hasa vifaranga kukumbwa na magonjwa na vifo jambo linalo rudisha  nyuma jitihada za kujinasua na umaskini wa mtu mmoja mmoja au kaya.

Kwa upande wake mlezi wa kikundi hicho Remigiusi Mbawala amesema kikundi hicho ni cha hiari ambacho kina mtaka kila mwanachama kutekeleza majukumu yake bila shuruti na aweze kujipatia kipato chake kupitia mradi wa ufugaji kuku.

Naye mratibu wa kikundi hicho Sponsa Dimayo amewaomba wataalam wa mifugo kuwatembelea na kuwapa elimu na ushauri ambao utawasadia kubadili mitizamo ya kufuga  kwa mazoea na kufuga  kisasa.

Naye Mratibu wa mfuko wa wanawake kutoka Idara ya Maendeleo ya Jamii Xveria Mlimira amewataka wanakikundi kutimiaza vigezo vya kukopeshwa  ili waweze kukopeshwa mikopo inayo tolewa na Halmashauri na vigezo ni kufungua akaunti na kuhakikisha kazi yao ya ufugaji inakuwa endelevu.

Kikundi cha Fideration Moja kinajumla ya wanachama 12 ambao wanajishugurisha na shughuri ya ufugaji kuku na kilimo cha mazao ya bustani na kimeanzishwa mwaka 2016.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa