• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

VIONGOZI wa Dini wasema taarifa za UVIKO-19 awali ziliwayumbisha

Tarehe ya Kuwekwa: November 17th, 2021

Viongozi wa dini wamedai uyumbishwaji wa taarifa za awali kuhusu  chanjo ya UVIKO-19 zilizokuwa zikitolewa na wataalam wa Afya zilikuwa na mkanganyiko ndani yake jambo  lililosababisha baadhi yao kukinzana na Serikali katika juhudi za pamoja katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19.

Madai hayo wameyasema katika kikao cha tathimini ya Afya ya Msingi cha Wilaya kilichofanyika katika  ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea hivi karibuni katika

“Awali maelekezo mliyokuwa mkiyatoa wataalam wa Afya yalikuwa yanatuchanga na tulishindwa kuelewa,lakini kwa sasa tumeelewa na tunawaelimisha wa umini wetu juu ya umuhimu wa kuchanja chacho ya UVIKO -19 na maswali yamepungua,” Padre Fredrick Mwabena amesema.

Mwabena amesema  maelekezo yaliyokuwa yanatolewa awali  na wataalam  sekta hiyo yalikuwa na mkanganyiko jambo ambalo na wao kama viongozi wa dini walibaki njia panda ya kusaidi kuelisha waumini wao umuhimu  wa kuchanja chanjo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Shekhe Saidi Rashidi Namawela naye anakili kuhusu kuwepo kwa taarifa za uyumbishaji  kuhusu chanjo ya UVIKO-19 jambo ambalo liliwapa shida  katika kuamini upi ni ukweli na upi ni uongo ,lakini kadri elimu hiyo inavyo endelea kutolewa wao wameelimika na kuunga mkono jitihada za Serikali za mapambao ya dhidi ya ugonjwa wa korona.

Akizungumzia kuhusu chanjo mpya aina ya sinopharm  Kaimu Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Geofrey Kihaule amesema Halmashauri ilipokea mgao wa chanjo 3572 ambazo mtu aliyehiari kuchanja atachanja awamu mbili,na tayari zoezi limefanyika na limekamilika.

Kihaule amesma wale wote waliochanja awamu ya kwanza,awamu ya pili watachanja chanjo nyingi baada ya siku 21 hadi 28 kwa utaratibu wa majina yao kubandikwa kwenye mbao za matangazo karibu na makazi yao na tarehe ambayo watatakiwa kuja kupata chanjo awamu ya pili.

Naye mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema amewapongeza wataalam wa Afya kwa zoezi la uchanjaji ambalo kwa Halmashauri ya wilaya ya songea linaendelea vizuri,pia ameshauri uhamasishaji uendele na wananchi wa Vijiji vyote wafikiwe ili wanaohiari kuchanja wapate  huduma hiyo.

Amewasisitiza wataalam wa Afya kujifunza kutokana na changamoto wanazokutanazo katika utekelezaji wa zoezi la utoaji wa chanjo ya UVIKO-19 ambazo zitawasaidia kujenga uelewa zaidi wa kukabiliana na tatizo hilo ambalo bado linaendelea kuteketeza maisha ya watu.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Songea DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa