• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UJENZI WA STENDI MPYA YA MABASI LUNDUSI RASMI KUANZA HIVI KARIBUNI

Tarehe ya Kuwekwa: September 8th, 2023


Serikali kupitia Halmashuri ya Wilaya ya Songea inatarajia kuanza ujenzi wa stendi  ya Magari (Mabasi) katika Kijiji cha Lundusi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Stendi hiyo itakayogharimu kiasi cha Shiling Milioni 434,657,802.68, inategemea kuanza utekelezwaji baada ya uzinduzi utakaofanyika tarehe 15/09/2023.

Akizungumzia mradi huo Mhandisi wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea Flora Tairo amesema wamepokea kiasi hicho cha fedha kupitia TASAF kwaajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao lengo kubwa ni kusaidia wananchi wa kijiji cha Lundusi na vijiji jirani katika kuondoa changamoto za usafiri.

"Stendi hii imegawanyika katika maeneo matano ya utekelezaji ambayo ni -; sehemu ya kupaki magari, Ujenzi wa Pelving blocks, Ujenzi ufungaji wa taa pamoja na ujenzi wa maduka, ambapo maduka yatakuwa katika sehemu mbili (side A na side B)".

"Hatua za utekelezaji wa mradi, tulianza na uibuaji wa mradi, tukaja uhakiki wa mizani, pia tukafanya uhakiki wa eneo la mradi, tukafanya uhidhinishaji wa maombi ya fedha za mradi na utafuata uzinduzi wa mradi na utekelezaji wa mradi kwa sasa tupo hatua hii ya utekelezaji wa mradi ambapo mradi wetu upo katika hatua za awali za ujenzi huo ambapo sasa ni usafishaji wa eneo (site clearance) baada ya hapo kutakuwa na utekelezaji wa miundombinu katika stendi yetu baada ya utekelezaji wa mradi tutakuwa na kukamilika kwa mradi baada ya kumaliza mradi wa miundombinu kutakuwa na cheti cha umalizaji wa mradi na ufunguzi wa mradi huo". Flora Tairo  Mhandisi wa Halmashuri

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndg. Neema M Maghembe ameeleza namna mradi huu utaweza kuwanufaisha wananchi wa kijiji cha Lundusi na vijiji jirani ambao watatumia stendi hiyo pindi itakapo kamilika vilevile ameishukuru Serikali kwa kuweza kuwapatia fedha za mradi, amapo amesema.

" Katika mapokezi ya fedha hizi, kwanza kabisa tunampongeza  Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazozifanya pia tunamshukuru kwa kutuletea fedha hizi kwaajili ya utekelezaji wa mradi huu wa stendi na miundombinu mingine katika Halmashauri yetu, Tunamshukuru pia Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mh Jenista Joakim Mhagama  kwa ufuatiliaji mzuri na kazi nyingi anazozifanya katika Jimbo lake, Mkurugenzi wa TASAF Makao Makuu, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa ushari na ufuatiliaji wake, Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mwenywekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea Mhe. Menans Komba na baraza lote la Madiwani na timu ya wataalamu katika usimamizi wa utekelezaji wa miundombinu hii bila kusahau Chama Cha Mapinduzi kwa mchango wake mkubwa katika Halmashauri yetu ya  Wilaya ya Songea"

“Nasi tunawaahidi kushirikiana vyema na kamati zote zilizopo hapa katika utekelezaji wa mradi huu ambao utaenda kunufaisha watu wengi sana   ili kuhakikisha kwamba fedha hizi zilizoletwa na Mheshimiwa  Raisi  kupitia TASAF zinaenda kufanya kazi iliyokusudiwa”

Aidha uzinduzi wa mradi huu unatakiwa kufanyika Tarehe 15 September 2023 kwani utekelezaji wa miradi ya miundombinu kupitia TASAF huanza kwa zoezi la uzinduzi kabla ya  utekelezaji wa mradi kwa Lengo la kuwapa wananchi taarifa ya mradi na hamasa juu ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya stendi katika Kijiji cha Lundusi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa