• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Ujenzi wa kituo cha afya muhukuru

Tarehe ya Kuwekwa: May 20th, 2018

Ujenzi wa kituo cha afya Muhukuru.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imepata shilingi milioni 500 kw ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Muhukuru

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bw Simon Bulenganija ametoa taarifa hiyo katika kikao cha timu ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya Halmashauri kilicho fanyika hivi karibuni ofisini kwake.

Bw Bulenganija amesema fedha hizo zimetolewa na OR_TAMISEMI_ AFYA mei 9 kwa ajili ya ujenzi wa majengo matano,kununua vifaa tiba toka bohari kuu ya madawa na uwekaji wa mifumo ya kisasa katika kituo hicho.

Ametaja majengo yanayotakiwa kujengwa ni jengo la kinamamama watotoato,chumba cha kuhifadhia maiti,chumba cha upasuaji na nyumba moja ya mtumishi.

Amesema katika kufanikisha na kukamilisha ujenzi huo tayari hatua mbalimbali   zimechukuliwa pamoja kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa kata ya Muhukuru Lilahi ambako kituo kinajengwa na kuunda kamati ndogondogo za manunuzi,mapokezi na ujenzi na kila kamati imeshakabidhiwa majukumu yake.

Amezisisitiza kamati kutekeleza majukumu yake kwa uweledi mkubwa pamoja na kutunza kumbukumbu zote pia  kujiepusha na kila aina ya ushawishi wa kuhujumu mradi huo bali wazingatie utaratibu ulio wekwa

Ujenzi huo utatumia muda wa siku 90  sawa na miezi mitatu kujengwakwake na kuanza kutoa huduma.Kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kutasaidia kutoa huduma kwa wananchi wa kata ya Ndongosi,kata ya Muhukuru Lilahi na mhukuru barabarani

Wananchi wameishukuru serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na  Mh Raisi Dkt John Pombe Magufuli kwakuwajengea kituo cha Afya ambacho kitakuwa mkombozi kwao kwaupande wa huduma za afya na kuepukana na adha iliyokuwa  ikiwapata mara baada ya kupata tatizo la kiafya

Imeandaliwa na.

Jacquelen Clavery.Habari,mawasiliano na mahusiano kazini.


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa