• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Tarehe ya Kuwekwa: December 27th, 2019

Uboreshaji wa daftari la kudumu la  wapiga kura

Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  Jaji (mst) Mary Longway  amesema dhima ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni kuboresha  taarifa  zilizopo katika daftari hilo.

Ameyasema hayo wakati akifungua mkutano  mkutano  wa wadau mbalimbali wa Uchaguzi uliofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma hivi karibuni

Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  Jaji ( mst) Mary Longway  amezitaja taarifa  hizo kuwa ni  Kurekebisha taarifa za wapiga kura,Kuhamisha taarifa za wapiga kura waliohama,Kuondoa taarifa za wapiga kura waliopoteza sifa na Kutoa kadi mpya kwa wapiga kura kwa waliopoteza au kadi zao kuharibika pamoja na kuandikisha watu wenye umri wa miaka 18 na wale ambao watakua wametimiza umri wa miaka 18 siku ya Uchaguzi mkuu mwaka 2020.

  Jaji ( mst)  Longway    amezitaja sifa za kuandikishwa kuwa mpiga kura kuwa ni awe raia wa Tanzania, awe na umri wa miaka  18 na zaidi au atatimiza umri wa miaka 18 kabla au ifikapo tarehe ya Uchaguzi.

Amesema raia yeyote wa Tanzania atapoteza sifa za za kuandikishwa kuwa mpiga kura  kwa sababu zifuatazo si raia wa Tanzania, anautii wa nchi  nyingine,amethibitika kuwa anaugonjwa wa akili,amehukumiwa adhabu ya kifo,anatumikia kifungo cha zaidi ya miezi sita sababu nyingine ni amezuiliwa kujiandikisha ni kuwa mpiga kura na sheria ya uchaguzi au sheria nyingine kuwa makosa yanayohusiana na uchaguzi au hakutimiza umri wa kupiga kura ifikapo siku ya uchaguzi.

Ameyataja maeneo ambayo hayatahusika kuwa vituo vya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi sura ya 343 na kanuni ya 15(3) ya kanuni za Uboreshaji wa daftari chini ya Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa Sura ya 292 kuwa ni Kambi za jeshi, Nyumba za ibada,ofisi za vyama vya siasa na makambi na makazi ya polisi.

Kwa Mkoa wa Ruvuma zoezi la  uandikishwaji wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura litaanza tarehe 30.12.2019 hadi tarehe 05.01.2020 kwa muda wa siku saba na vituo vitafunguliwa  kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 12.00 jioni kwa maeneo  yaliyotengwa kwa ajili ya zoezi hilo hivyo wananchi wanatakiwa kwenda kuhakiki taarifa zao na kujiandikisha.

Kwa upande wa wananchi wametoa wito kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa na ofisi ya Tume ya Uchaguzi ngazi ya Mkoa ili taarifa ziboreshwe mara kwa mara sio kwa kipindi fulani tu ambacho kinaonekana kuto kidhi matakwa ya wananchi kwani muda unakua ni mchache.

JACQUELEN CLAVERY-AFISA HABARI.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa