• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TASAF Makao Makuu wametoa mafunzo Songea DC.

Tarehe ya Kuwekwa: September 2nd, 2022

MKURUGENZI wa TASAF kutoka makao makuu Dodoma Ladslaus Mwamanga ambae amewakilishwa na Mercy Mandawa ametoa mafuzo na kuwajengea uelewa juu ya utekelezaji na usimamizi wa miradi ya TASAF Songea.

 Mafunzo hayo yamefanyika kwenye baraza la Waheshimiwa Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika ukumbi wa mikutano Peramiho.

Pia amewapongeza Waheshimiwa Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri kwa kwa uandaaji, utekelezaji na usimamizi wa shughuli za mradi kwa weredi na ufanisi mkubwa tangu hatua za mwanzo hadi kukamilika.

‘’Mradi unapoandaliwa vizuri, kutekelezwa na kusimamiwa kwa utaratibu uliopangwa thamani ya fedha iliyotumika itapatikana na malengo yaliyokusudiwa yatafikiwa’’, amesema Mercy Mandawa.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Menace Komba ameishukuru Serikali ya awamu ya sita ikiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kuendelea kuikimbuka Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Kwaupande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe amesema mafunzo haya wezeshi yatasaidia viongozi wa siasa na wataalamu katika kusimamia miradi ya Ajira ya muda na uendelezaji wa miundombinu.

Pia Katibu tawala wa Wilaya ya Songea Pendo Daniel Ndumbaro amewashauri waheshimiwa Madiwani na wataalamu wa Halmashauri kile walichojifunza wakifuatilie wafate taratibu na kanuni katika uandaaji, utekelezaji na usimamizi wa shughuli za mradi wa TASAF wakifuata miongozo iliyowekwa.

 TASAF ni mradi wenye lengo la kusaidia watu wanaotoka katika kaya maskini, kutoa Ajira ya muda kwa walengwa ili kuongeza kipato na matumizi kwenye kaya na kuongeza ujuzi kwa walengwa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni,

Kitengo cha Mawasiliano Serikali.

Septemba 02 2022.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa