• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TASAF Kuzifikia kaya Masikini zaidi ya Milioni 1.4 Nchini

Tarehe ya Kuwekwa: March 4th, 2021

AWAMU ya tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) inatarajia kuzifikiakaya masikini zaidi ya milioni 1.4 zinazokadiriwa kuwa na watu zaidi ya milionisaba kote nchini.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga wakatianafungua mafunzo ya siku sita ya timu maalum ya wawezeshaji 25 kutoka Halmashauriza Madaba na Songea wilayani Songea yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Ushirikamjini Songea.

Mwamanga amesema wawezeshaji hao watahusika na utekelezaji na usimamizi wamiradi ya kutoa ajira za muda kwa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikiniTASAF Awamu ya tatu katika kipindi cha pili.

“Miradi ya kutoa ajira za muda inalenga kutoa ajira kwa kaya masikini wakatiwa kipindi cha hari ili wanakaya hao wasiweze kuuza rasilimali walizonazo kwaajili ya kupata fedha na kuwezesha ajira kwa kaya ili kuongeza kipato hivyokupunguza umaskini’’,alisema.

Hata hivyo amezitaja kaya zitakazoshiriki utekelezaji wa miradi hiyo nizenye watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi65.

Mwamanga amesema  katika kipindi cha kwanza cha mpango wa kunusuru kayamasikini jumla ya miradi 9,440 ya kutoa ajira za muda ilitekelezwa  kwagharama ya shilingi bilioni 1.19 kati ya hizo shilingi bilioni 83.3 zilitumikakwa kulipa ujira wa walengwa na shilingi bilioni 35.7 kwa ajili ya vifaa vyamiradi na usimamizi.

Kwa upande wake Mwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka TASAF Makao Makuu FrankAntony  amelitaja lengo la mafunzo hayo kuwa ni kujenga uwezo wa timu zawatalam ngazi ya Halmashauri za Songea na Madaba kuhusiana nauibuaji,uandaaji,utekelezaji na usimamizi miradi ya kutoa ajira za muda kwawalengwa ngazi ya jamii.

Amesema mafunzo hayo ya nadharia na vitendo ya siku sita ambayo yametolewakwa wawezeshaji 25 toka Halmashauri mbili za Madaba na Songea yatawapelekeamaarifa jumla ya walengwa wa TASAF 5,400 kati yao walengwa 3,800 tokaHalmashauri ya Songea na walengwa 1,600 toka Madaba.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa