• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TASAF KUWAFIKIA WALENGWA KWA ASILIMIA MOJA

Tarehe ya Kuwekwa: October 10th, 2019


Hayo ameyasema Waziri wanchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Kapt  George Mkuchika (mstaafu) alipofanya ziara ya kukagua miradi inayotekelezwa na TASAF na kuzungumza na walengwa wa kaya masikini katika Kijiji cha Matimira Kata ya Matimia,Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruuvuma hivi karibuni.

Kapt  Mkuchika (mstaafu) amesema Serikali imeadhimia kuzifikia kaya zote maskini nchini kwa lengo la kuwanusuru na maradhi, ujinga na umaskini ambao ni maadui wakubwa wa mafanikio katika jamii.

Amesema jambo la kutia moyo kwa wananchi kuona Serikali inapotoa fedha kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini  walengwa wanatumia fedha hizo kwa kujiongezea kipato kwa kufanya kazi za kiuchumi kama vile ufugaji,kilimo hata uvuvi na kugharamia huduma za matibabu na Elimu.

Amewatoa hofu walengwa wa kaya masikini kuwaTASAF inasimamiwa na serikali hivyo walengwa wataendelea kunufaika na mpango huo  kwa kuzingatia taratibu na miongozo iliyopo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bibi Christina Mndeme amesema atasimamia fedha zote zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kunusuru kaya masikini  zinafanya kazi iliyokusudiwa.

Aidha Halmashauri ya wilaya ya songea inajumla ya kaya masikini 145, kaya moja ikiwa imehama na kubakiwa kaya 144 sawa na asilimia 96   zinazohudumiwa kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini kati ya kaya 151 zilizo tambuliwa na kaya sita hazikukidhi vigezo.

Kwa upande wao wananchi wameishukuru serikali kwakuwanusuru na maisha magumu waliyokuwa wakiyapitia kwakuwasaidia fedha ambazo wameweza kuanzisha miradi midogomidogo ya kiuchumi ambayo imeinua kipato cha maisha na kuboresha makazi yao.

JACQUELEN CLAVERY-TEHAMA

  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa