• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TASAF HALMASHAURI YA SONGEA YAANZA KUGAWA FEDHA KWENYE KAYA MASKINI

Tarehe ya Kuwekwa: July 4th, 2024


Mfuko wa maendeleo ya jamii, TASAF, umeanza kuwalipa fedha wananchi wa kaya maskini katika halmashauri ya wilaya ya Songea.

Huu ni mpango wa Selikari katika kunusuru kaya Maskini ikiwemo kuwaongezea kipato na kuboresha  huduma za kiuchumi na kijamii kwa kwa kaya za waklengwa na kulinda masahi ya Watoto wao.

Lengo la Serikali ni kuwakwamua katika hali ya chini ili mpande na muwe na uwezo wa kujitafutia na kusaidia kaya zenu. Mama Samia anawapenda wananchi wake ndo mana ameamua kuwapatia fedha hizi ili wananchi wake muweze kupata mahitaj ya muhim ikiwemo kupeleka watoto Shule na kuanzisha miradi mbalimbali ambayo itawasaidia katika familia zenu. Alisema Mratibu wa TASAF Mkoa Wa Ruvuma akiongea na walengwa katika kijiji cha Morogoro na Magima kata ya Litisha

Aidha aliwataka walengwa kuheshimu fedha hizo wanazopewa na kuwasisitiza kuzipeleka kwenye mambo ya Msingi ambayo yanaweza kusaidia kwa sasa na baadae. Leo mmeona wenzenu wakua wanufaika wa TASAF kwa miaka zaidi ya Tisa ( 9 ) wapo ambao wamejikwamua kwa kuweza kujenga nyumba zao, na kusomesha watoto wengine waneanzisha miradi ambayo kwa sasa wameweza kusimama wenyewe,

Hivyo basi wito wangu kwenu ni kuhakikisha mnakua na mipango madhubuti ili kuendeleza familia lakini pia kumpa moyo Mhe. Rais ambaye amekua akitoa fedha hizi kwa ajili yenu.

Wanufaika wa mfuko wa Maendeleo ya Jamii ( TASAF), wamemshukuru sana Mhe. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKt samia Suluhu Hassan kwa kuwakumbuka kaya maskini lakini pia kuwakwamua kutoka Kwenye Umakini

“ Kiukweli sisi kaya Maskini, tunamshukuru sana Mama Samia, ametupa unafuu wamaisha ametupa, mwanzo nilikua namaisha magumu sana, lakini kwa sasa nimeanzisha biashara yangu nauza kanga na yote hii ni fedha ninayoipata kupitia TASAF.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa