• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TAARIFA ya mapokezi ya fedha

Tarehe ya Kuwekwa: June 10th, 2023

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe anawatangazia wananchi wote kuwa Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 149,934,332 kupitia Ufadhili wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (Tanzania Education Authority- TEA) kwaajili ya ujenzi wa bweni la wasichana lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 120.

Pia amesema Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi milioni 362.2 kutoka katika kampuni ya Barrick Gold Mine Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule ya sekondari Maposeni.

Ndugu Neema amesema fedha hizo zitatumika kujenga madarasa manne ambapo kila darasa litagharimu shilingi milioni 24 na kufanya jumla shilingi milioni 96 kwa madarasa manne, mabweni mawili ambapo kila bweni litagharimu shilingi milioni 128 na kufanya jumla shilingi milioni 256 kwa mabweni mawili na mwisho ujenzi wa matundu ya vyoo sita ambapo kila tundu litagharimu kiasi cha shilingi milioni 1.7 na kufanya jumla ya shilingi milioni 10.2 kwa matundu sita ya vyoo.

Aidha, amesema kampuni ya Barrack wametoa fedha hizo ili kuunga mkono jitihada na juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuboresha elimu nchini.

Ameongeza kuwa lengo la ujenzi wa miundombinu hii ni kuwezesha wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha tano mwaka 2023, wanapata fursa ya kuendelea na masomo.

Vilevile amesema Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi milioni 834 kutoka Serikali kuu kwaajili ya kuongeza miundombinu ya wanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Jenista Mhagama.

Ndugu Neema amefafanua kuwa fedha hizo zitatumika kujenga madarasa 12 ambapo kila darasa litagharimu fedha kiasi cha shilingi milioni 24 na kufanya jumla ya shilingi milioni 288 kwa madarasa yote 12, mabweni manne ambapo kila bweni litatumia fedha kiasi cha shilingi milioni 128 na kufanya jumla ya milioni 512 kwa mabweni manne na ujenzi wa matundu ya vyoo 20 ambapo tundu moja litagharimu shilingi milioni 1.7 na kufanya jumla ya shilingi milioni 34 kwa matundu 20 ya vyoo.

Pia amesema Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi milioni 751.8 kutoka Serikali kuu kaajili ya kuongeza miundombinu ya wanafunzi wa kidatocha tano katika shule ya sekondari Mpitimbi.

Ndugu Neema amefafanua kuwa fedha hizo zitatumika kujenga madarasa tisa ambapo kila darasa litagharimu shilingi milioni 24 na kufanya jumla ya shilingi milioni 216, mabweni manne ambapo kila bweni litagharimu shilingi milioni 128 na kufanya jumla ya shilingi milioni 512 kwa mabweni manne na ujenzi wa matundu ya vyoo 14 ambapo tundu moja litagharimu milioni 1.7 na kufanya jumla ya milioni 23.8 kwa matundu ya vyoo 14.

Kwaniaba ya Uongozi wa Halmashauri Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema ameishukuru Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Joakim Mhagama kwa kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa