• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SONGEA DC yafanya utambulisho wa mradi kijiji cha Liweta.

Tarehe ya Kuwekwa: November 11th, 2022

HALMASHAURI ya Wilaya ya Songea imepokea fedha kiasi cha Shilingi Milioni 100 kutoka Serikali Kuu kwaajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika Shule ya msingi Liweta.

Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu Msingi Lucy Mbolu katika kikao cha kutambulisha mradi kwa wananchi wa Kata ya Mpandangindo kijiji cha Liweta ambacho kiliudhuriwa na Viongozi wa Kata, Kijiji, Wataalamu na kamati za ujenzi.

Akizungumza katika kikao hicho amesema katika Milioni 100 Milioni 40 zitatumika kujenga madarasa mawili mapya, Milioni 25 zitatumika kujenga matundu 20 ya vyoo na Milioni 35 zitatumika katika kukarabati miundombinu.

‘’Nawaomba kamati zote ambazo zimechaguliwa muwe na ushirikiano baina yenu, Viongozi na wananchi muende mkawe mabalozi katika kuutangaza huu mradi pamoja na kuwasisitiza wananchi wawajibike katika ujenzi huu pale ambapo zinahitajika nguvu za wananchi basi waweze kujitoa na kujituma ili kuhakikisha mradi unakwenda vizuri’’, amesisitiza Afisa Elimu Lucy.

Vilevile Afisa elimu Lucy amesema Serikali imedhamiria kuboresha sekta ya elimu hivyo mradi huu inatakiwa kuonyesha thamani ya fedha iliyokuja kwa kuzingatia viwango na vigezo vilivyowekwa na serikali pia kuwa na uzalendo katika kuusimamia na kuulinda mradi huu.

Kwaupande wake Diwani wa Kata ya Mpandangindo Mheshimiwa Gothard Haule amesisitiza kwa wanakamati na Viongozi wa kata na Kijiji kwamba maelekezo yote yaliyotelewa na wataalamu yafanyiwe kazi hivyo amewataka kuwa wasimamizi wazuri wa mradi ili uwe na thamani halisi na fedha iliyopokelewa.

Aidha ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kuleta fedha kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali na kuendelea kuboresha sekta ya elimu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa