• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SIKU YA WAZEE DUNIANI, "UTHABITI WA WAZEE KWENYE DUNIA YENYE MABADILIKO"

Tarehe ya Kuwekwa: September 26th, 2023


Siku ya wazee Duniani huadhimishwa  tarehe 01 Oktoba  ya kila mwaka kwa ajili ya  kukumbushana  umuhimu  wa wazee ili waweze kuwa  na maisha  bora yenye kuleta matumaini aidha wanapokuwa wamestaafu au wanapokuwa na umri mkubwa.

Siku ya Wazee Duniani  ilitengwa mwaka 1990  katika Azimio namba 45/106 la mwaka 1990 .baada ya mkutano mkuu wa umoja wa mataifa kuamua rasmi kuanzisha siku hii.

Nchini Tanzania idadi ya wazee inatajwa kuwa kubwa zaidi kuliko watoto chini ya miaka 15. Kwa mujibu wa takwimu za karibuni, Duniani kufikia mwaka 2050 karibu asilimia 21 ya watu wa sasa  watakuwa ni wazee.

Hivyo kupitia siku hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Songea kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii imeandaa maadhimisho hayo ambayo yanatarijiwa kufanyika Tarehe 29 Septemba katika Kijiji cha Nakahuga Kata ya Litisha ambapo maadhimisho hayo yatatanguliwa na kongamano la wazee ambalo litafanyika siku moja kabla ya Kilele cha maadhimisho hayo. Ambapo amesema,

"Kuelekea kwenye Kilele cha maadhimisho haya ambayo kwa Wilaya ya Songea tutafanya tarehe 29 septemba kutokana na muingiliano wa ratiba hivyo tumeandaa vitu mbalimbali vitafanyika siku kabla ya Kilele na siku ya Kilele kwa kuanza na siku ya Tarehe 28 kutakuwa na kongamano la wazee ambalo litajumuisha vitu vifuatavyo Elimu yaukatili wa kijinsia ili kuwawezesha wazee kutoa taarifa pale wanaponyanyaswa, Elimu ya lishe Bora, Elimu ya Utunzaji wa mazingira na afya pamoja na Elimu ya kifua kikuu na ukoma"

"Vilevile siku ya Kilele kutakuwa naupimaji afya kwa wazee (Kupima shinikizo la damu kisukari, uchunguzi wa kifua kikuu na ukoma), pia kutakuwa na maonesho ya shughuli za kiuchumi zinazifanywa na wa wazee wazee kama vile kilimo, ufugaji wa kuu na kilimo cha uyoga, pia kutakuwa na maonesho ya ngoma za asili(Lizombe) ya wazee na watoto, kutakuwa kukimbiza kuku, kuvuta kamba na mpira wa miguu wa wazee" Alisema Joseph Ngwenya Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea

Hivyo ametoa wito kwa wananchi wote wa Kijiji cha Nakahuga Kata ya Litisha na majirani wote kwa ujumla kujitokeza kwa wingi siku ya Kilele ambayo maadhimisho hayo yataanza sa 2 asubuhi yakiongozwa na Kaulimbiu isemayo "UTHABITI WA WAZEE KWENYE DUNIA YENYE MABADILIKO" na mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe.Wilman Kapenjama Ndile.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa