• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Serikali Yatoa Shilingi Bilioni 1.39 Kujenga Vyumba vya Madarasa

Tarehe ya Kuwekwa: October 24th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololeti Mgema amesema Serikali imetoa kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni miatatu na tisini kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 65 vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi watakaoanza kidato cha kwanza 2022.

Mgema ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la kazi kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.

Mgema amewataka watendaji wote wanahusika katika utekelezaji wa ujenzi wa madarasa hayo kujiepushe na ubadhirifu wa aina yoyote kwani atakaye bainika hata mfumbia macho,na wahakikishe wanashiri ki kusimamia mradi kikamilifu ili thamani ya fedha itoe mradi wenye tija.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi.Neema Maghembe ametoa ufafanuzi wa matumizi ya fedha hizo kuwa shilingi milioni 920 zitatumika kujenga vyumba vya madarasa 46 kwa shule za sekondari 16,na shilingi milioni 380 zitatumika kujenga madarasa katika vituo shikizi vya shule za msingi.

Maghembe amevitaja vituo shikizi vitano ambavyo vimenufaika na mgao huo kuwa ni Ligunga,Lunyeri,Jenister,vingine ni Mhimbasi na Lihuhu ambavyo vyote vimepata mgao wa shilingi milioni 20 ambazo tayari zimeingizwa kwenye akaunti za shule hizo kadiri ya miongozo ya Serikali.

Amezitaja shule za Sekondari ambazo zimenufaika na mgao huo kuwa ni Namihoro,Maposeni,Ndongosi,Namatuhi,Barabarani,Mpitimbi Lupunga,Mhalule na shule nyingine kuwa ni Matimira,Darajambili,Magagura,Nalima,Litapwasi,Muhukuru,Liganga na Kilagano fedha hizo tayari zimeingizwa katika akaunti za shule hizo.

Ameishukuru Serika kwa kutoa kiasi hicho cha fedha ambacho kinakwenda kumaliza tatizo la vyumba vya madarasa kwa wanafunzi wanaotarajia kuanza kidato cha kwanza mwaka 2022 katika maeneo hayo yaliyoainishwa.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea inajumla  ya shule za Sekondari 16 nashule za msingi 73 zinazomilikiwa na Serikali.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa