• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RUZUKU ya shilingi milioni 210 zimetumika kuwapa kaya masikini

Tarehe ya Kuwekwa: September 26th, 2020

Shilingi milioni 210 zimetumika kutoa ruzuku kwa kaya masikini katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma.

Afisa Tehama kutoka makao makuu ya TASAF Peter Lwanda amesema hayo katika zoezi la kutoa ruzuku kwa kaya masikini zoezi lililo fanyika hivi karibuni.

Lwanda amesema jumla ya kaya masikini  3249 ambazo ni ruzuku  ya mwezi wa   Julai hadi Agasti na Septemba hadi Oktoba 2020.

Amesema wamelazimika kutoa ruzuku ya miezi minne kutokana na changamoto ya ugonjwa wa COVID 19, sababu iliyopelekea walengwa kutopatiwa ruzuku hiyo  kwa muda uliotakiwa ambao ni kila baada ya miezi miwili.

Lwanda amesema katika  kipindi cha  miaka minne iliyoanza 2020,mpango wa kunusuru kaya masikini umelenga kukuza uchumi wa kaya masikini katika sura mbili.

Amesema katika sura ya kwanza ni kutoa ruzuku kwa kaya ambazo hazina uwezo wa kufanya kazi kama wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 65 au makundi maalumu.

Katika sura ya pili TASAF itawasaidi walengwa ambao wanauwezo wa kufanya kazi kwakuwajengea uwezo wakuwapa mafunzo ya ujasiriamali kupitia vikundi vya watu 10 hadi 15 na kuwaunganisha na Taasisi za kifedha ili waweze kupatiwa mikopo na kuendeleza shughuri zao ,hali kadharika kutoa ajira za muda za miradi ya TASAF na kulipwa ujira.

“Nasitiza walengwa kutumia fedha vizuri pamoja na kuhakikisha watoto wanaopata ruzuku wanahudhuria shuleni”,amesema Lwanda.

Domitila Mhagama na Agustino Soko ni wa kazi wa kijijij cha Litapwasi wamesema tangu waanze kupata ruzuku Maisha yao yameimarika kiuchumi kwa kujenga nyumba bora,kufanya shughuri ndogo ndogo za ufugaji kilimo na uhakika wa kupata chakula kwa mwaka mzima katika familia zao.

Wameishukuru serikali kwakuona tatizo la kaya masikini na kuwapa ruzuku ambayo inawasaidia kutatua changamoto kutokana na ruzuku wanayoipata.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery -Afisa Habari Songea DC. 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa