• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC RUVUMA awtaka viongozi wa Taasisi mbambali kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu umuhimu wa chanjo ya CORONA

Tarehe ya Kuwekwa: August 4th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Balozi Wilbert Ibuge amewataka viongozi mbalimbali wa Taasisi na wadau wa Afya kuongoza kwa vitendo na kwamfano katika kusimamia miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya juu ya umuhimu wa chanjo ya kujikinga na ugonjwa wa UVICO wimbi la tatu.

Balozi Ibuge ametoa maagizo hayo katika uzinduzi wa chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa UVICO uliofanyika katika ukumbi wa manispaa ya songea leo.

Balozi ibuge amewataka viongozi mbalimbali wa taasisi na wadau wa afya kushirikiana katika kujenga uelewa wa kutosha kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kujikinga na janga hilo kwa kuchanja chanjo ya kuzuia maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa UVICO wimbi la tatu.

Balozi Ibuge amesisitiza kwakusema chanjo iliyotolewa na Serikali ni chanjo salama kwa kila atakaye penda kuchoma na nia ya serikali ni kuokoa wananchi wake ili wasiweze kuangamia na ugonjwa huo ,hivyo wananchi wajiepushe na uzushi wowote wa kwenye mitandao ya kijamii inayodai chanjo hiyo inamadhara.

Amesema Serikali kupitia Wataalam wa Afya wamekuwa wakitoa elimu na maelekezo mbalimbali kuhusu athari za ugonjwa wa UVICO ambao umekuwa tisho kwa uhai wa mwanadamu,nivema wananchi pasipo shuruti waone umuhimu wa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo.

  Balozi Ibuge amekili kuwepo kwa wagonjwa ndani ya mkoa wa Ruvuma hivyo amewataka wananchi kuchukua tahadhari binfsi badala ya kuwasubiri viongozi kuwahamasisha na kuwakumbusha kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

“Msisitizo wangu kujinga ni bora zaidi kuliko kujitibia “,alisisitiza Balozi Ibuge.

Amepiga marufuku mikusanyiko yote isiyo kuwa ya lazima huku akitoa maagizo kwa kamanda wa polisi wa mkoa ahakikishe kwenye vyombo vya usafiri wa umma abiri wote wanavaa barokoa na hakuna abiria kusimama na boda boda kupakia abiri mmoja.

Maagizo mengine ni viongozi wa idara ya afya kuhakikisha vifaa kinga vinapatikana katika mikusanyiko ya watu kama sokoni,standi za mabasi na maeneo mengine ambayo watu wanakusanyika kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.

Kwa upande wake mganga mkuu wa mkoa wa Ruvuma Jairoy Khanga amesema Mkoa wa Ruvuma umepokea jumla ya chanjo 30,000 ambazo zimesambazwa katika vituo 23 ndani ya Mkoa ambako wananchi ambao wamehiari kwenda kuchanja watapata huduma katika vituo hivyo.

Ikumbukwe kuwaugonjwa wa UVICO ulingia nchi Marchi 17,2020 ambapo bado ugonjwa huo umekuwa hatari duniani kwa kuteketeza uhai wa mwanadamu kwa kipindi kifupi na mapambano bado yanaendelea kupitia wataalam mbalmbali wa Afya Dunia kuhakikisha ugonjwa huo  hauangamizi msMaisha ya watu .

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa